Kombe la Mataifa ya Afrika : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 12:
{{Wikinews|Egypt wins 2008 Africa Cup of Nations}}
'''Kombe la Mataifa ya Afrika,''' ni [[shindano]] kuu la la soka la kimataifa katika [[Afrika]]. Shindano hili husimamiwa na [[Confederation of African Football]] (CAF), na lilichezwa kwa mara ya kwanza mwaka wa [[1957]]. Tangu mwaka wa 1968, shindano hili
Katika mwaka wa 1957 kulikuwa na mataifa tatu yaliyoshiriki katika shindano hili ambayo ni: [[Misri]], [[Sudan]] na [[Ethiopia]]. [[Afrika ya Kusini]] walikuwa walikuwa washiriki katika shindano hili lakini walizuiwa kutokana na sera za [[ubaguzi]]
[[Misri]] ndiyo taifa
== Historia ==
=== 1950-60:uenezaji wa shindano la ANC ===
Chimbuko la Kombe la Mataifa ya Afrika lilikuwa mnamo tarehe Juni 1956, wakati
{{Cite web
| url=http://news.bbc.co.uk/sport1/hi/football/africa/cup_of_nations/1709599.stm
Mstari 30:
Kutokana na tukio hilo mechi mbili ndizo zilizochezwa na Misri kuwa bingwa wa kwanza katika bara baada ya kushinda Sudan katika nusu fainali na Ethiopia katika fainali. Miaka miwili baadaye, Misri ndiyo ilikuwa mwenyeji wa pili wa ANC mjini [[Cairo]] ambapo timu zile tatu ndizo zilishiriki .Kama mwenyeji na bingwa tetezi Misri iliweza kushinda baada ya kuwalaza sudan katika fainali.
=== 1960: Ghana utawala ===
|