Istanbul : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d The file Image:Kizkulesi_at_night.jpg has been removed, as it has been deleted by commons:User:Fastily: ''No permission since 6 April 2012''. ''Translate me!''
Mstari 28:
*Misikiti mikubwa ya Milki ya Osmani kama vile [[Msikiti wa Suleymaniye]], [[Msikiti wa Sultan Ahmad]] na majengo mbalimbali ya [[Mimar Sinan]]
*[[Topkapi]] iliyokuwa ikulu ya masultani hadi 1923 na leo hii kati ya makumbusho muhimu duniani
*MNARA WA MSICHANA - KIZ KULESI
 
Kulingana na hadithi nyingi tofauti kuhusiana na KIZ KULESI, Constantine, Moja ya viongozi wa Byzantine alikuwa na binti yake ambaye inasemekana alikuwa mrembo sana ambaye alimpenda sana. Watabiri walitabiri kuwa kifo cha binti huyo kitatokana na kugonwa na nyoka.
Katika kumlinda binti yake na janga hilo, mfalme akaagiza kujengwe nyumba katikati ya kisiwa ambapo ndipo Kiz Kulesi ilipo hivi sasa. Lakini mwisho wa siku Yule binti aliuawa kwa kugongwa na nyoka aliyekuja kisiwani kupitia katika kikapu cha mboga.
 
== Elimu ==