Papa Innocent XII : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza sk:Inocent XII. |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Pope Innocent XII.jpg|thumb|right|Papa Innocent XII]]
'''Papa Innocent XII''' ([[13 Machi]], [[1615]] – [[27 Septemba]], [[1700]]) alikuwa [[papa]] kuanzia [[12 Julai]], [[1691]] hadi kifo chake. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa '''Antonio Pignatelli'''. Alimfuata [[Papa Alexander VIII]] akafuatwa na [[Papa Klementi XI]].
== Viungo vya nje ==
|