Mkoa wa Dar es Salaam : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
== Dar es Salaam ==
'''Dar es Salaam''' ni kati ya mikoa 26 ya [[Tanzania]]. Eneo la mkoa ni [[Jiji]] la [[Dar es Salaam]]. Imepakana na [[Mkoa wa Pwani]] pande zote barani na [[Bahari Hindi]] upande wa mashariki.
Kuna wilaya tatu za Kinondoni (wakazi 1,088,867), Ilala (wakazi 637,573) na Temeke (wakazi 771,500) ambazo kila moja
Eneo la mkoa ni 1,800 km² pamoja na visiwa vidogo 8 na eneo la bahari kati ya pwani na visiwa hivi. Eneo la nchi kavu pekee ni 1,393 km².
|