Paa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza lmo:Tecc |
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza lv:Jumts; cosmetic changes |
||
Mstari 1:
[[
[[
'''Paa''' ni eneo la juu la [[nyumba]] ambalo linatumika kuziba eneo la ndani lisionekane kutoka juu na pia kuzuia jua na [[mvua]], [[theluji]] na [[jua]] visiingie ndani.
Kuna aina nyingi za paa na hizi zinategemea mazingira ya nyumba hasa [[hali ya hewa]] na pia teknolojia inayopatikana.
== Paa kufuatana na mazingira ==
Katika mazingira penye mvua nyingi kidesturi paa inahitaji mtelemko ili maji yasikae na kuingia ndani. Kama mazingira yana upepo mkali si vizuri kuwa na mtelemko mno maana watu waliweka mawe juu ya paa kwa kusudi la kuimarisha paa dhidi ya upepo mkubwa.
Lakini katika mazingira kavu pasipo na mvua nyingi
Teknolojia ya kisasa inaruhusu kuwa na taa tambarare hata katika mazingira penye mvua nyingi. Hapa paa hujengwa kwa [[saruji]] iliyoimarishwa kwa [[feleji]] pamoja na kemikali zinazozuia maji na kuziba paa kabisa. Faida yake ni ya kwamba ghorofa ya juu moja kwa moja chini ya paa ya nje ina nafasi kubwa inaweza kutumiwa.
== Sehemu za paa ==
Paa huwa na sehemu mbili ambazo ni maunzi yake ya ndani halafu ganda la nje.
Mstari 35:
</gallery></center>
▲[[Category:Ujenzi]]
[[an:Tellato]]
Line 67 ⟶ 66:
[[lmo:Tecc]]
[[lt:Stogas]]
[[lv:Jumts]]
[[ne:छाना]]
[[nl:Dak]]
|