Alan Turing : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.3) (Roboti: Imebadilisha: or:ଆଲାନ ଟ୍ୟୁରିଙ୍ଗ |
No edit summary |
||
Mstari 15:
}}
'''Alan Mathison Turing''' ([[23 Juni]] [[1912]] - [[7 Juni]] [[1954]]) alikuwa mtaalamu
Alikuwa kati ya watu wa kwanza walioshughulika na kompyuta tarakimu. Alielewa ya kwamba kompyuta inaweza kutumiwa hata kwa shughuli nje ya hisabati kama lugha ya programu yake inatafsiri shughuli hizi katika namba 0 na 1.
Alibuni programu ya mashine ya Turing ambayo ni mfano kwa kompyuta za baadaye.
Wakati wa [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]] Turing
Mwaka 1952 kazi ya Tring ilivunjwa aliposhtakiwa kuwa [[basha]]; alipelekwa mahakamani akahukumiwa aingie ama jela au akubali kutumia madawa makali. Baada ya miaka 2 alijiua.
|