Boksiti : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: be:Баксіт |
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza kn:ಬಾಕ್ಸೈಟ್; cosmetic changes |
||
Mstari 1:
[[
'''Bauxiti''' au '''Boksiti''' ni [[mtapo]] unaotumiwa kutengeneza [[alumini]]. Ni hasa hidroksidi ya alumini (Al<sub>2</sub>O<sub>3</sub>.3H<sub>2</sub>O) ikichanganywa na [[titani]], [[chuma]] au [[silikoni]].
Jina la Bauxiti limetokana na kijiji cha "Les Baux de Provence" katika [[Ufaransa]] ambako mtapo umegunduliwa mara ya kwanza. Leo hii huchimbwa hasa katika [[Australia]], [[Brazil]], [[Guinea]], [[Jamaika]] na [[India]].
Bauxiti ni msingi wa alumini na mambo yote yanayotengenezwa nayo. Kama [[metali]] imara na nyepesi alumini hutumiwa hasa kwa ndege na vyombo vingine vya usafiri lakini pia kwa ajili ya makopo, masanduku n.k.
[[
[[ar:بوكسيت]]
Mstari 35:
[[ka:ბოქსიტი]]
[[kk:Боксит]]
[[kn:ಬಾಕ್ಸೈಟ್]]
[[ko:보크사이트]]
[[lt:Boksitas]]
|