Daudi (Biblia) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Roboti: Imeongeza et:Taavet, hy:Դավիթ, kk:Дәуіт Пайғамбар Imebadilisha az:Davud |
No edit summary |
||
Mstari 8:
Kati ya matendo yake yaliyokumbukwa zaidi ni ushindi juu ya Mfilisti [[Goliathi]].
Pamoja na makosa yake, Daudi akabaki kielelezo cha mfalme wa Israeli, ambaye awe tofauti na watawala wengine wote kwa kuwa hasa mtumishi mnyenyekevu wa [[Mungu]] bila ya kuyumba kwa kuelekea [[miungu]] mingine.
== Habari zake katika [[Vitabu vya Samweli]] ==
Mstari 24:
Kwa [[unyenyekevu]] wake huo alimpendeza Mungu akapewa naye ahadi ya ajabu, yaani kwamba ufalme wake utadumu milele (2Sam 7). [[Utabiri]] huo wa nabii [[Nathani]] ukaja kuongoza [[tumaini]] la Waisraeli hasa walipodhulumiwa, k.mf. zamani za [[Yesu]] chini ya [[ukoloni]] wa Kirumi, ambapo wote walimtazamia [[mwana wa Daudi]] mwenye kurudisha ufalme wa Israeli.
Pamoja na hayo,
Ingawa hakukubaliwa kumjengea Mungu [[hekalu]] la ajabu alivyokusudia, amekuwa mwalimu wa sala kwa nyakati zote: hata leo [[liturujia]] ya [[Uyahudi]] na ya [[Ukristo]] inategemea sana zaburi zake.
Matendo mengine tofauti
Ikawa hivyo hasa kwa sababu ya [[Absalomu]] mwanae ambaye alimuua kaka yake (2Sam 13:22-37) na baada ya kusamehewa akafanya [[njama]] hata akamfukuza Daudi toka Yerusalemu (2Sam 14:28-15:29) akazini na masuria wake mahali pa wazi (2Sam 16:20-23). Hata hivyo Daudi akazidi kumpenda na alipoambiwa ameuawa akamlilia kwa namna ambayo iliwashangaza na kuwachukiza waliompigania: lakini yeye ambaye alijiombea na kupewa [[msamaha]] wa Mungu hakumchukia mwanae aliyehatarisha maisha yake (2Sam 18:19-20:8).
|