Walawi (Biblia) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Bot: Simplifying links ([link|linktext] → [link]text)
No edit summary
Mstari 1:
'''Kitabu cha Walawi''' (pia: '''Mambo ya Walawi''') ni kitabu cha tatu katika [[Biblia ya Kiebrania]] ([[TanakTanakh]]) na katika [[Agano la Kale]] la [[Biblia ya Kikristo]], kikifuata kile cha [[Mwanzo (Biblia)|Mwanzo]] na kile cha [[Kutoka (Biblia)|Kutoka]].
 
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
Mstari 5:
== Majina ==
 
Katika [[lugha]] asili ya [[Kiebrania]] kinaitwa ''ויקרא'' ''Wayikra'' (maana yake “Na aliita”) ambalo ni neno la kwanza katika kitabu hicho.
 
Katika tafsiri ya kwanza ya [[Kiyunani]] ([[Septuaginta]]) kinaitwa ''Λευιτικóς'', ''Levitikos'', yaani ''Cha Kilawi'' kutokana na mada zake zinazohusu Walawi, yaani ma[[kuhani]].
Kwa lugha ya [[Kiyunani]], kinaitwa ''Levitikon (biblion)'', maana yake “(Kitabu cha) [[Walawi]] (au Makuhani)”. Kinaitwa hivyo kutokana na jina lake la Kigiriki katika tafsiri ya [[Septuaginta]]: "Λευιτικóς (levitikos - Cha Kilawi)".
 
Wengine wanakiita ''Kitabu cha Tatu cha [[Musa]] (au Mose)'' kwa vile inafikiriwa kuwa ndiye mwandishi wa kitabu hicho.