Mnara wa taa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: eu:Itsasargi, qu:Pharu |
No edit summary |
||
Mstari 5:
[[Image:Image62.gif|thumb|250px|Kichoro cha [[Pharos ya Aleksandria]]]]
==Minara ya taa ya kwanza==
Minara ya taa ya kwanza ilikuwa na moto juu yake na nuru ya moto ilionekana mbali. Mnara wa kwanza unaojulikana vizuri kihistoria ilikuwa [[Pharos ya Aleksandria]] nchini [[Misri]] iliyojengwa mnamo mwaka 282 KK. Ulisimama hadi mwaka 1303 BK ulipobomolewa na tetemeko la ardhi. Umekadiriwa kuwa na urefu wa mita 115 hadi 160. Wagiriki wa Kale waliuhesabu kati ya [[
==Mabadiliko ya teknolojia==
|