Mchirizo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
New page: thumb|Mfano wa mchirizo '''Mchirizo''' ni tamko katika hisabati (jiometria) la kutaja mstari unaonama kama jinamizi au kuruba. Huelezwa pia kama taswira ya nj... |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 14:47, 30 Septemba 2007
Mchirizo ni tamko katika hisabati (jiometria) la kutaja mstari unaonama kama jinamizi au kuruba.
Huelezwa pia kama taswira ya njia.
Mfano wa mchirizo ni duara ambayo ni mchirizo unaojifunga.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |