Pembenyingi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
New page: '''Pembenyingi''' ni umbo bapa lenye pande tatu au zaidi. Pembenyingi hutokea kama nukta kwenye tambarare zaunganishwa kwa mistari inayofunga eneo au maeneo ndani yao. Katika jiometria y... |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 16:11, 30 Septemba 2007
Pembenyingi ni umbo bapa lenye pande tatu au zaidi.
Pembenyingi hutokea kama nukta kwenye tambarare zaunganishwa kwa mistari inayofunga eneo au maeneo ndani yao.
Katika jiometria ya tambarare pembenyingi sahili kabisa ni pembetatu.
Pembenyingi sahili haina mistari inayopandana. Ikipandana huitwa pembenyingi tata.
Mifano ya pembenyingi
-
Pembetatu pandesawa
-
Mstatili na ulalo zake
-
Pembesaba sahili
-
Pembesita sahili
-
Pembetano tata
-
Jinsi gani uso wachorwa katika programiu ya tarakishi kwa kutumia pembenyingi
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |