Wasuni : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Roboti: Imeongeza ky:Сунниттер
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Islam by country.png|thumbnail|300px|Nchi za Waislamu wengi na madhehebu<br />Kibichi: Wasunni wengi; Nyekundu: Washia wengi]]
{{Islam}}
'''Wasunni''' ni [[dhehebu]] kubwa ndani ya dini ya [[Uislamu]]. Takriban asilimia 80 - 90 za Waislamu wote duniani hukadiriwa kuwa Wasunni na wengine 10-20 % huhesabiwa kati ya [[Washia]].
 
Wasunni huitwa kwa Kiarabu '''ahl ul-sunna''' ([[Kiarabu]]: '''أهل السنة'''; "watu wa mapokeo"). Neno Sunni hutokeahutokana kutoka kwana neno [[sunna]] (kwa Kiarabu : '''سنة''' ) inayomaanisha [[mapokeo]] ya [[Mtume Muhammad]].
 
Isipokuwa [[Uajemi]], [[Iraki]], [[Bahrain]], Azebaijan[[Azerbaijan]], [[Yemen]], [[Omani]] na [[Lebanoni]] kundi kundihilo ni kubwa katika nchi zote penye Waislamu wengi.
 
== Historia ==
Line 13 ⟶ 14:
 
Walimu wengine hasa katika kikundi cha [[Wawahabi]] kilichoanzishwa kati ya Wahanbali kimekaza mafundisho yake hadi kuwashtaki wengine kuwa si Waislamu wa kweli.
 
 
== Viungo vya Nje ==