Wanzilishaji wa akaunti, Warasimu, Watumiaji waliothibitishwa, Interface administrators, IP block exemptions, Wakabidhi
44,788
edits
d (robot Adding: br:Derez Celsius) |
|||
|}
'''Selsiasi''' ('''sentigredi''', '''Celsius''') ni kipimo cha [[halijoto]] kinachotumika zaidi duniani. Alama yake ni '''°C'''.
Kipimo hiki hutumia skeli ya vizio 100 kati ya 0°C na 100°C. 0°C ni halijoto ya kuganda kwa maji kuwa barafu. 100°C ni halijoto ya maji kuchemka, yote kwa shindikizo kawaida la hewa yaani takriban shindikizo la hewa linalopatikana kando la bahari.
|