Historia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.3) (Roboti: Imebadilisha: ps:پېښليک |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Historia''' ni somo kuhusu maisha ya [[binadamu]] na [[utamaduni]] wao wakati uliopita.
Mara nyingi neno Historia ni hasa mfululizo wa habari za mambo yaliyotokea pamoja na sababu zake.
Binadamu anaziandika ili kuelewa [[maisha]] yake, yaani ametokea wapi, amepata mafanikio gani na matatizo gani.
Historia inatufundisha kuishi: kumbukumbu za mambo ya zamani ([[vita]], [[uhuru]], viongozi na mengineyo) zinatuwezesha kuendelea vizuri zaidi.
Wanahistoria wanatoa maarifa yao kutoka [[andiko|maandiko]] ya zamani, kutoka [[fasihi simulizi]] na kutoka [[akiolojia]].
Line 7 ⟶ 15:
* [[Historia ya Afrika]]
* [[Historia ya Amerika]]
* [[Historia ya Asia]]
* [[Historia ya Australia]]
* [[Historia ya Ulaya]]
* [[Historia ya Wokovu]]
* [[Miaka]]
* [[Vita]]
|