Alibhai Mulla Jeevanjee : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
nimeboresha makala
nimerekebisha lugha
Mstari 6:
Wakati ujenzi wa reli ya Kenya-Uganda ilifika [[ziwa Victoria]], Jeevanjee alizindua ''Africa standard'' ambayo ilikuwa gazeti ya kila wiki. Alikuwa ameajiri mhariri mwandishi, W.H. Tiller ambaye kazi yake ilikuwa kusimamia shughuli za gazeti hilo.Mnamo 1905, aliuza ''Africa standard'' kwa wafanyabiashara wawili wa Uingereza ambao walibadili jina la gazeti hilo kuwa ''East African Standard''. Baadaye mnamo 1910 gazeti hili likawa la kila siku na likahamisha makao yake makuu kutoka Mombasa hadi [[Nairobi]] ambao ulikuwa kituo cha kibiashara.<ref>{{cite web |url= http://www.britannica.com/EBchecked/topic/562965/The-Standard#ref754408 |title=The Standard (Kenyan newspaper) -- Britannica Online Encyclopedia |first= |last= |work=britannica.com |year=2012 |accessdate=29 July 2012}}</ref>
==Bustani ya Jeevanjee==
Alianza kujenga Bustani ya Jeevanjee mnamo 1904 ambayo baadaye alipeana kwa watu wa Nairobi mwaka wa 1906 kama mahali pa kupumzika.<ref name="Patel2002">{{cite book|author=Zarina Patel|title=Alibhai Mulla Jeevanjee|url=http://books.google.com/books?id=LD8OBiNV_l8C|accessdate=29 July 2012|year=2002|publisher=East African Publishers|isbn=978-9966-25-111-4}}</ref>Bustani hizohiyo ziligongailigonga vichwa vya habari mwaka wa 1991 ambapobaada ya baadhi ya viongozi katika mamlaka walikuwakuwa na njama ya kegeuza bustani hiyo kuwa eneo la biashara.Kulikuwa na pendekezo la ujenzi wa Hifadhiegezo la ghorofa la magarigari. Hii ilikuwa dhidi ya matakwa ya Jeevanjee.Binti ya Jeevanjee aliyekuwa amebaki hai, marehemu Shirin Najmudean alihamia Nairobi ili kuzuia mapendeleo yaliyopangwahaya yaliyokuwa yamepangwa kwenye kipande hiki cha ardhi.<ref>{{cite web |url= http://www.awaazmagazine.com/index.php/archives/item/128-the-struggle-to-preserve-jeevanjee-gardens?tmpl=component&print=1 |title=The Struggle to Preserve Jeevanjee Gardens |first=Zarina |last=Patel |date=31 October 2011 |work=awaazmagazine.com |accessdate=29 July 2012}}</ref>
 
==Pia tazama==