Bustani ya Jeevanjee : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
nimeabzsha makala |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 04:20, 19 Agosti 2012
Bustani ya Jeevanjee ni bustani ya wazi katika Wilaya ya Kati ya Biashara mjini Nairobi, Kenya. Bustani ya Jeevanjee ilianzishwa na A M Jeevanjee, mwana raslimali mzaliwa wa Asia aliyekuwa na mfanya biashara nchini Kenya.[1]
Virejeleo
- ↑ "Michigan State University Press : Zarina Patel". msupress.msu.edu. 2012. Iliwekwa mnamo 19 August 2012. Check date values in:
|accessdate=
(help)