Waraka wa kwanza kwa Wakorintho : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 7:
==Mazingira==
Kutoka [[Korintho]]
Kilichohatarisha zaidi [[jumuia]] hiyo ni [[karama]] mbalimbali ambazo hao Wakristo wachanga walizijali mno na hatimaye wakajivunia kuwa nazo.
Vilevile walivutiwa kumfuata mtu kama [[Apolo]], mwenye [[ujuzi]] na [[ufasaha]] mkubwa, mambo yaliyopendwa sana na [[Wagiriki]].
Ilimbidi Paulo arekebishe [[hali]] hiyo ili kuokoa hasa [[umoja wa Kanisa]] na [[heshima]] kwa viongozi wake halali.
Basi mwaka mzima akawa na mahangaiko kwa wafuasi wake wa Korintho akawaandikia walau barua nne au tano, ingawa sisi tunazo mbili tu; pengine sehemu za baadhi yake zimeshonwa ndani ya 2Kor.
|