Wafinisia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
nyongeza |
||
Mstari 2:
'''Wafinsia''' walikuwa taifa la [[Nyakati za Kale]] walioishi kwenye mwambao wa mashariki wa [[Bahari ya Mediteranea]]. [[Miji-dola]] yao yalikaa katika eneo la nchi za kisasa [[Lebanoni]] na [[Syria]].
Wafinisia walitumia Kifinisia iliyokuwa [[lugha ya Kisemiti]]
Walikuwa wafanyabiashara na mabaharia hodari sana. Walijenga utajiri wao juu ya biashara ya ubao kutoka milima ya Lebanoni. Hasa miti ya aina ya seda (''cedrus libani'') ilitafutwa sana.
|