Martino wa Tours : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 8:
'''Martino wa Tours''' ([[Savaria]], [[Panonia]], leo [[Hungaria]]
[[316]] - [[Candes-Saint-Martin]], [[Gaul]], leo [[Ufaransa]] [[397]]) alikuwa [[mmonaki]], halafu [[askofu]] (kuanzia [[371]] hadi [[kifo]] chake).
 
Alipokaribia kifo, walimuomba asiondoke, naye akasali hivi: "Ee Bwana, nikihitajiwa bado na watu wako, sikatai uchovu wa kazi: utakalo lifanyike!"
 
Maisha yake yaliandikwa na [[Sulpicius Severus]] yakawa kielelezo cha vitabu juu ya watakatifu.
 
HeshimaSifa yake ilienea haraka hivi kwamba aliheshimiwa kama [[mtakatifu]] ingawa hakuwa [[mfiadini]] kama kawaida ya wakati ule. AnaheshimiwaHadi leo anaheshimiwa hivyo na [[Kanisa Katoliki]], [[Waorthodoksi]], [[Waanglikana]], [[Walutheri]] kama [[mtakatifu]]n.k.
 
[[Sikukuu]] yake inaadhimishwa tarehe [[11 Novemba]], ila kwa Waorthodoksi tarehe [[11 Oktoba]].
Line 32 ⟶ 34:
 
{{mbegu-Mkristo}}
 
{{DEFAULTSORT:Martin Of Tours}}
 
[[Category:Waliozaliwa 316]]