Ludoviko IX : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|right|200px|Louis IX alivyochorwa na [[El Greco 15921595 hivi.]] [[File:SaintLouisSainteChapelle.jpg|thumb|right|Sanamu ...'
 
No edit summary
Mstari 1:
[[Image:louis-ix.jpg|thumb|right|200px|Louis IX alivyochorwa na [[El Greco]] [[1592]]–[[1595]] hivi.]]
[[File:SaintLouisSainteChapelle.jpg|thumb|right|Sanamu ya Mt. Ludoviko IX huko Paris, [[Ufaransa]].]]
[[Image:San Domenico47.jpg|thumb|leftright|225px|[[Masalia]] yake yanatunzwa katika sanduku hili la mwisho wa [[karne ya 13]] katika [[Basilika la Mt. Dominiko]], [[Bologna]], [[Italia]].]]
[[File:Basilique du Sacré-Cœur de Montmartre 5.jpg|thumb|leftright|Sanamu yake kama [[mwanajeshi]] katika [[Basilika la Moyo Mtakatifu]], Paris.]]
'''Ludoviko IX''' ([[Poissy]], karibu na [[Paris]], Ufaransa, [[25 Aprili]] [[1214]] – [[Tunis]], [[Tunisia]], [[25 Agosti]] [[1270]]), maarufu kama '''Mtakatifu Alois''', alikuwa [[mfalme]] wa [[Ufaransa]] tangu [[1226]] hadi [[kifo]] chake.
 
Ni mfalme pekee wa nchi hiyo kutangazwa [[mtakatifu]] (na [[Papa BonifasBoniface VIII]], [[1297]]).

Anahesabiwa kuwa mtawala bora wa [[Ukristo|Kikristo]] kwa jinsi alivyojalia [[ibada]], alivyoheshimu [[ndoa]] yake, alivyohudumia wananchi, hasa maskini na wagonjwa, na alivyotetea [[Wakristo]] waliodhulumiwa.
 
Alifariki dunia kwa [[tauni]] aliyoambukizwa kwa kuwahudumia [[askari]] zake wakati wa [[vita vya msalaba]].
Line 35 ⟶ 37:
[[Category:Wafalme wa Ufaransa]]
[[Category:Watakatifu wa Ufaransa]]
[[Category:Roman Catholic royal saints]]
 
{{Link FA|hu}}