Kismayu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza he:קיסמאיו; cosmetic changes
No edit summary
Mstari 17:
}}
 
'''Kismayu''' (pia: '''Kismayo''' au ([[Kisomali]]: '''Kismaayo''') ni mji katika eneomkoa wa la [[Jubbada Hoose]] lawa [[Somalia]] mwambaoni wa [[Bahari Hindi]]. IkoUko karibu na mdomo wa mto wa [[Juba (mto)|Juba]]. Kismayu ndio mji mkubwa katika eneo la Jubbaland. Mji wenyewe uko 528km kusini magharibi mwa mji mkuu [[Mogadishu]]. Katika mwaka wa 2011, Kismayu ilikadiriwa kuwa na wakaazi 183,300.
 
== Historia ==
Mji ulianzishwa na [[Wabajuni]] waliokuwa [[Waswahili]] Wabantu. [[Wasomali]] wenyewe walichelewa kufika eneo hili.
Katika karne za kati, Kismayu ilikuwa chini ya serikali ya [[Ajuuraan]] iliyokuwa ikutawala eneo kadhaa za [[Somalia]].
 
Kismayu pamoja na pwani ilikuwa chini ya masultani wa [[Zanzibar]] tangu 1835 [[BK]]. Kati ya 1875 hadi 1876 Kismayu ilitawaliwa na [[Misri]].