Methali : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Methali''' ni aina ya usemi wa kisanii wa kimapokeo unaofikiriwa na [[jamii]] kuwa wa kweli na unaotumiwa kufumbia au kutolea mfano na huwa umebeba maana pana kuliko maneno yenyewe yanayotumiwa.
Kila
==Methali za Kiswahili==
{| class="wikitable sortable"
|-
! Methali !! Maana/Matumizi!!
|-
| Asiyesikia la mkuu, huvunjika guu.
| Asiyefuata
| He that does not heed the elderly advice, evil befalls him.
|-
| Aisifiaye mvua, ujue imemnyeshea.
|
| He that praises rain,has seen it.
|-
| Aliye juu, mngojee chini.
| Anayejitapa
| Pride comes before the fall.
|-
| Usimwamshe aliyelala, utalala wewe.
|
| Do not wake one who is sleeping; you will fall asleep yourself.
|-
| Adhabu ya kaburi, aijuaye maiti.
| Taabu na dhiki ya kaburini,aijuaye ni maiti.
| The discomfort of the grave is only known by the deceased.
|-
| Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake.
| Kitanda ambacho hujalala juu yake huwezi kujua kama kina kunguni wengi au kidogo, yule anachokilalia kitanda hicho ndiye ajuaye hasa adhabu ya kunguni wake.
| You can't judge how many bugs are in a bed that you're not sleeping in.
|-
| Afadhali dooteni, kama ambari kutanda.
| Afadhali kibaya kidogo ulichonacho, kuliko kingi kizuri usichonacho wala huna njia ya kukipata. Hutumiwa kumnasihi mtu akinai na atoshelezeke na alichonacho, ingawaje kidogo.
| Better the little you own than a lot that you don't or can't archieve.
|}
Mstari 44:
[[Category:Fasihi]]
[[Jamii:Kiswahili]]
[[af:Spreekwoord]]
|