Tito : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|right|250px|Mt. Tito askofu. [[File:Crete Iraklio6 tango7174.jpg|thumb|Kan...' |
No edit summary |
||
Mstari 2:
[[File:Crete Iraklio6 tango7174.jpg|thumb|Kanisa lake huko [[Heraklion]].]]
'''Tito''' ni mmojawapo kati ya viongozi wa kwanzakwanza wa [[Kanisa]], akiwa mwenzi na mwandamizi wa [[Mtume Paulo]], anayetajwa katika [[
Alikuwa naye huko [[Antiokia]] akaongozana naye kwenye [[Mtaguso wa Yerusalemu]],<ref>Wagalatia 2:1-3; Matendo 15:2</ref> ingawa jina lake halitajwi katika kitabu cha [[Matendo ya Mitume]].
Mstari 8:
Kabla [[ubatizo|hajabatizwa]] alikuwa [[Mpagani]], hivyo Paulo alikataa kabisa dai la kwamba [[tohara|atahiriwe]] ili [[wokovu|aokoke]].
Kadiri ya Nyaraka, baadaye alikuwa naye [[Efeso]], akatumwa [[
Walikutana tena [[Makedonia]],<ref>
Habari za mwisho ni kwamba alikwenda [[Dalmatia]].
Mstari 18:
Mapokeo yanasema Paulo alimpa [[daraja]] ya [[uaskofu]] kwa ajili ya [[Gortyn]] huko Krete, na kwamba alifariki mwaka [[107]], akiwa na umri wa miaka 95.
Tangu mwaka [[1969]], [[Kanisa Katoliki]] la Kilatini linamwadhimisha pamoja na [[Timotheo]] tarehe [[26 Januari]], siku inayofuata ile ya [[Uongofu wa Mt.
==Tanbihi==
|