Rujewa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
historia ya rujewa kwa ufupi |
No edit summary |
||
Mstari 36:
KIBIASHARA
rujewa inasifika kwa kutoa mchele mzuri kuliko eneo lolote la hapa tanzania,na baadhi ya mazao ya biashara yanayolimwa hapa rujewa ni kama alizeti,lakini pia rujewa inastawi mazao mengi ya chakula kama vile karanga,mahindi,ulezi nk
Habari hizi ni kulingana na nnavyojua mimi mzawa wa Rujewa Mwl Yassin H.Sanga
[[en:Rujewa]]
|