3
edits
d (Roboti: Imeondoa: as:মৌমাখি (deleted)) |
dNo edit summary |
||
Nyuki za asali mara nyingi wanafugwa lakini wengine wanaishi porini na asali yao inakusanywa kwa kuvunja mzinga wao. Katika Afrika kwa jumla sehemu ya asali bado inatokana na nyuki asali wa porini lakini ufugaji nyuki unapanua.
[[Picha:HoneyBeeAnatomy.
== Mwili wa nyuki ==
Mwili una pande tatu jinsi ilvyo kwa wadudu wote: [[kichwa]] mbele, [[kidari]] katikati na [[tumbo]] nyuma, halafu jozi tatu za miguu na jozi mbili za mabawa.
|
edits