Nyuki : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
dNo edit summary
Masahihisho
Mstari 13:
| nusuoda = [[Apocrita]] (Hymenoptera wenye kiuno chembamba sana)
| familia = [[Apidae]] (Wadudu walio na mnasaba na [[nyuki]])
| subdivision = '''Nusufamilia 3:'''<br>
| jenasi = ''[[Apis]]'' (Nyuki-asali)
*[[Apinae]]
| bingwa_wa_jenasi = [[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758
*[[Nomadinae]]
| spishi = Angalia katiba
*[[Xylocopinae]]
}}
 
'''Nyuki''' ni [[mdudu|wadudu]] wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Apidae]] mwenyewenye mabawa manne angavu na mwiba kwenye nyuma ya mwili wakewao anayekusanyawanaokusanya [[mbelewele]] na [[mbochi]] ya [[maua]] kama chakula chakechao. Aina inayojulikana hasa ni [[nyuki wa -asali]] wa ''[[familiaApis (biolojia)|familiamellifera]] apis''. Kuna spishi zaidi zaya 20,000 zinazojumlishwa na biolojia kati ya nyuki lakini ni wale wa jenasi apis''[[Apis]]'' wanaokusanyawanaotengeneza [[asali]] inayovunwa na wanadamu.
 
Nyuki za -asali mara nyingi wanafugwa lakini wengine wanaishi porini na asali yao inakusanywa kwa kuvunja mzinga wao. Katika Afrika kwa jumla sehemu ya asali bado inatokana na nyuki asali wa porini lakini ufugaji nyuki unapanua.
 
[[Picha:HoneyBeeAnatomy.svg|thumb|200px|left|Mwili wa nyuki]]
Line 31 ⟶ 32:
 
== Wadudu wa kijamii ==
Nyuki -asali ni wadudu wa kijamii maana yake wanaishi katika kundi si peke yao kama aina nyingine za nyuki. Wanajenga [[sega]] ya [[nta]] ndani ya [[mzinga wa nyuki]] na humu wanatunza asali [[yao]].
 
Kuna aina tatu za nyuki ndani ya kundi na mzinga wao ambao ni
* malkia wa nyuki ni mama wa nyuki wote ndani ya kundi na kazi yake ni kutegakutaga mayai pekee
* nyuki wafanyakazi ni wakazi wengi wa mzinga na wote ni wa kike. Ni hao wanaofanya kazi yote kama kukusanya mbelewele na mbochi, kusafisha mzinga, kutengeneza nta , kujenga sega, kumlisha malkia na wadogomajana, kultetea mzinga
* nyuki dume ni wachache na kazi yao ya pekee ni kuzaa nakukwea malkia lakini si yule wa mzinga wake kwa kawaida; baadaye wanafukuzwa kwenye mzinga na hawapewi chakula tena
 
==Spishi na nususpishi za Afrika==