Mafua ya kawaida : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 23:
 
===Maendeleo ya ugonjwa===
Mafua kwa kawaida huanza na uchovu, hali ya kusikia baridi, kupiga chafya, na maumivu ya kichwa. Dalili zingenezo ni kama vile pua inayotoa makamasi na kikohozi huanza baada ya siku mbili au zaidi. <ref name=E24/> Dalili huwa zinakuwa mbaya siku mbili au tatu baada ya kuambukizwa. <ref name=Eccles2005/> Dalili hizo kwa kawaida huendelea kwa siku saba hadi siku kumi, lakini hueza kuendelea hadi wiki tatu <ref name=Heik2003>{{cite journal |author=Heikkinen T, Järvinen A |title=The common kikohozi kitaendelea kwa zaidi ya siku kumi katika asilimia 35% hadi 40% ya watoto wagonjwa. Hali hii huendelea kwa zaidi ya siku 25 katika asilimia 10% ya watoto wagonjwa/0} }</ref><ref>{{cite journal |author=Goldsobel AB, Chipps BE |title=Cough in the pediatric population |journal=J. Pediatr. |volume=156 |issue=3 |pages=352–358.e1 |year=2010 |month=March |pmid=20176183|doi=10.1016/j.jpeds.2009.12.004 }}</ref>
 
==Visababishi==