Mafua ya kawaida : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 45:
[[Image:Illu conducting passages.svg|thumb| Mafua ya kawaida ni ugonjwa unaoathiri sehemu ya juu ya kupitisha hewa]]
 
Dalili za mafua ya kawaida zinaaminika kuwa zinajitokeza wakati kinga mwili ikipambana na virusi <ref name=E112>Pg. Eccles. 112 </ref> Jinsi kinga mwili inavyopambana na virusi inategemea na aina ya virusi.Kwa mfano, ni kawaida rhinovirus kuenezwa kwa kugusana. Inajifunga katika vipokezi vya binadamu I viitwavyo CAM-1 receptor kwa njia isiojulikana na kusababisha kutolewa kwa vichochezi. <ref name=E112/> Vichochezi hivyo ndivyo vinaleta dalili. <ref Name= E112/> Kwa kawaida haileti madhara puani <ref name= Eccles2005/> Kwa upande mwingine, virusi vya njia ya hewa (RSV) vinaenezwa kwa kugusana na kwa vitone vinavyopeperuka hewani. Ni kisha vinazaana katika pua na koo kabla ya kuenea sehemu ya chini ya kupitisha hewa <ref name=E116> Eccles Pg.116 </ref> RSV inasababisha uharibifu wa ukuta wa pua. <ref name= E116/> Virusi vya binadamu vya parainfluenza vinasababisha uvimbi wa pua, koo, na njia za hewa. <ref jina name=E122/> Eccles Pg.122 </ref> Vikiathiri bomba la pumzi la watoto wadogo vinaweza kusababisha kifaduro, kikohozi cha sauti na shida ya kupumua. Hii ni kwa sababu njia ya hewa ya watoto inazidi kuwa ndogo <ref name=E122/>.
 
==Uaguzi==