Kipindi cha Pasaka : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{Mwaka wa liturujia}} Wayahudi wanaadhimisha Pasaka ya kale, ukumbusho wa kuvuka pakavu kati ya bahari, kutoka utumwani kuelekea uhuru....'
 
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Mwaka wa kanisa.jpg|thumb|right|300px|Kipindi cha Pasaka katika mwaka wa Kanisa kinaonyeshwa na rangi ya njano.]]
{{Mwaka wa liturujia}}
[[Wayahudi]] wanaadhimisha [[Pasaka]] ya kale, [[ukumbusho]] wa kuvuka pakavu kati ya [[bahari]], kutoka [[utumwa]]ni kuelekea [[uhuru]]. [[Ukristo|Wakristo]] wanaadhimisha Pasaka mpya, ukumbusho wa [[sadaka]] ya [[Agano Jipya]] la milele ambayo pamoja na [[Yesu]] wanavuka toka [[dunia]] hii kwenda kwa [[Baba]]: [[Kristo]] asingefufuka imani hii ingekuwa bure.