Sao Tome na Principe : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.7.3) (Robot: Modifying tk:San Tome we Prinsipi to tk:San-Tome we Prinsipi; cosmetic changes
Mstari 50:
footnotes =}}
 
'''Sao Tome na Principe''' ni nchi ya visiwa katika [[Bahari ya Atlantiki]] mbele ya pwani la [[Afrika]] ya Magharibi katika [[Ghuba ya Guinea]]. Ilikuwa koloni ya [[Ureno]] hadi 1975.
Eneo lake ni hasa visiwa viwili vikubwa vya São Tomé na Príncipe pamoja na visiwa vidogo kadhaa. Sao Tome na Principe vina umbali wa 140 km kati yao vikiwa takriban 250 na 225 km kutoka pwani la [[Gabon]].
Mstari 57:
Jina la Sao Tome lamaanisha "Mtakatifu Thomas" kwa sababu Wareno walifika mara ya kwanza siku ya Thomas katika kalenda ya kikatoliki.
 
90 % za wakazi huishi kwenye kisiwa kikubwa cha Sao Tome ambacho kina urefu wa 48 km na upana wa 32 km. Hapa kuna milima ya kufikia 2.024 m juu ya [[UB]]
 
Kisiwa cha pili ni Principe kina urefu wa 16 km na upana wa 6 km. Mlima wake mkubwa unafikia 927 m juu ya UB.
Mstari 65:
Miji mikubwa zaidi ni (namba za 2005):
* São Tomé: wakazi 56.1670
* Santo Antonio: wakazi 8.239
* Neves: wakazi 7.392
* Santa Cruz: wakazi 6.969
* Trindade: wakazi 6.636
 
Mstari 77:
Uchumi wa visiwa ulikuwa hasa mashamba makubwa ya [[kakao]] pamoja na kahawa na mazao ya minazi.
 
Katika miaka ya nyuma akiba za [[mafuta]] ziligunduliwa baharini katika maeneo kati ya Sao Tome na [[Nigeria]]. Mwaka 2001 nchi zote mbili zilipatana kuendelea pamoja na utafiti wa akiba hizi. Kutokana na kazi hizi kuna matumaini ya mapato makubwa wakati ujao.
 
 
Mstari 226:
[[tet:Saun Tomé no Prínsipe]]
[[th:ประเทศเซาตูเมและปรินซิปี]]
[[tk:San -Tome we Prinsipi]]
[[tl:Sao Tome at Prinsipe]]
[[tr:São Tomé ve Príncipe]]