Koreshi Mkuu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.3) (Robot: Modifying tl:Ciro ang Dakila to tl:Dakilang Ciro |
No edit summary |
||
Mstari 2:
[[File:Pasargades cyrus cropped.jpg|thumb|196px|Kaburi la Koreshi Mkuu huko Pasargadae]]
'''Koreshi Mkuu''' (kwa [[
Aliunganisha kwanza maeneo ya [[nyanda za juu]] za [[Uajemi]], akaendelea kutwaa [[mamlaka]] juu ya ==Vyanzo==
Habari za
Habari ==Familia==
[[Nasaba]] ya Akhameni ilianzishwa na [[Mwajemi]] [[Akhameni]] aliyekuwa mtawala wa eneo dogo la [[Uajemi]] kusini magharibi (ingawa wakati ule
Mwanawe [[Teispes]] alipanua eneo hilo hadi kushika [[Pars]] ambayo ni kiini cha Uajemi wenyewe.
Hadi hapa watawala hao walisimamia maeneo madogo wakipaswa kutii mabwana wao hasa Wamedi. Koreshi Mkuu aliasi dhidi ya bwana wake na kutwaa utawala wa milki ya [[Umedi]] akaendelea kutwaa nchi jirani.▼
Mwanawe [[Koreshi I]] akafuatwa na [[Kambisi I]] aliyekuwa baba wa Koreshi II anayejulikana kama Koreshi Mkuu.
Hadi hapo watawala hao walisimamia maeneo madogo wakipaswa kutii mabwana wao hasa Wamedi.
▲
==Taarifa ya Herodoti juu ya kuzaliwa na maisha yake==
Koreshi alipofikia umri wa miaka 10 alitambuliwa kama mtoto wa kifalme. Astyages aliamua kumhurumia sasa, akamtuma kwa wazazi wake. Lakini jenerali Harpagus aliadhibiwa vikali kwa sababu alimwalika kwa [[chakula]] katika [[ikulu]]
Mwaka [[559 KK]] Koreshi alimfuata babake kama mtawala wa kieneo. Harpagus aliwasiliana naye na kumchochea hadi Koreshi aliasi dhidi ya mfalme Astyages mwaka [[553 KK]]. Baada ya vita
Koreshi
[[Picha:Median Empire.jpg|thumbnail|350px|Milki ya Umedi kabla ya kutwaliwa na Koreshi Mkuu]]
==Mfalme wa Uajemi na Umedi==
Wataalamu wa historia wanatofautiana kuhusu taarifa ya Herodoti katika vipengele mbalimbali. Lakini picha inakubaliwa kuwa anguko la mfalme Astyages wa Umedi lilisababishwa na uasi wa sehemu za jeshi lake -labda chini ya Harpagus- pamoja na uasi wa Waajemi walioongozwa na Koreshi.
Baada ya ushindi wake
[[Mjomba]] wake Arsames aliyekuwa mfalme wa mji wa Parsa chini ya Wamedi akawa gavana wa Parsa chini ya Koreshi.
Koreshi aliendelea kutumia [[Ekbatana]], [[mji mkuu]] wa Wamedi, kama [[makao makuu]] wakati wa miezi ya [[joto]]. Kwa majira ya [[baridi]] alijenga mji mkuu mpya [[Pasargadi]] katika Pars. Akitumia cheo cha "Mfalme wa Uajemi na Medi" akaendelea kudai [[utii]] kutoka wakubwa wote Wamedi. ==Upanuzi hadi Lydia==
[[Lydia]] ilikuwa milki katika magharibi ya [[Anatolia]] iliyokuwa maarufu wakati ule kutokana na [[utajiri]] wa mfalme wake [[Kroiso]]. Kroiso alikuwa alishiriki na Wamedi dada yake Aryenis alikuwa mke wa mfalme Astyages wa Umedi.
Tangu mwaka [[550 KK]] Kroiso alikuwa na jirani mpya Uajemi. Kufuatana na taarifa ya [[Herodoti]] aliona milki ya Koreshi kama tishio
Alitaka kulipiza [[kisasi]] kwa anguko la shemeji wake Astyages, akaona pia nafasi ya kupanua milki yake kwenye maeneo ya Uajemi. Kroiso aliuliza [[mizimu ya Delfi]] kuhusu mipango yake. Hapo alipata jibu maarufu "Ukivuka Halys, mto wa mpakani, utaharibu milki kubwa" - kumbe aliona baadaye ya kwamba milki iliyoharibiwa ilikuwa milki yake mwenyewe.
Kabla ya kuondoka vitani alipatana pia na majirani hasa [[Sparta]] katika Ugiriki, [[Farao]] [[Amasis II]] wa Misri na mfalme [[Nabonidi]] wa Babeli. Pamoja na jeshi lake Kroiso alivuka mto Halys mwaka 542 akavamia eneo la Koreshi na kutwaa mji wa Pteria; wakazi wote waliuzwa kama watumwa. Sasa alisubiri jeshi la Koreshi.▼
▲Kabla ya kuondoka vitani alipatana pia na majirani, hasa [[Sparta]] katika Ugiriki, [[Farao]] [[Amasis II]] wa [[Misri]] na mfalme [[Nabonidi]] wa Babeli. Pamoja na jeshi lake Kroiso alivuka mto Halys mwaka [[542 KK]] akavamia eneo la Koreshi na kutwaa mji wa [[Pteria]]; wakazi wote waliuzwa kama [[watumwa]]. Sasa alisubiri [[jeshi]] la Koreshi.
Waajemi walikaribia na karibu na mji wa Pteria kulitokea mpigano mkali usiokuwa na mshindi. Waajemi walirudi nyuma kidogo na Kroiso hakutegemea tena mapigano kabla ya majira ya baridi hivyo aliagiza wanajeshi warudi kwao kwa majira baridi na mwenyewe alielekea mji mkuu wake [[Sardes]]. Alipanga kuendelea na vita baada ya miezi ya baridi akatuma nyaraka kwa wafalme walioshiriki naye wawe tayari baada ya miezi hii. ▼
▲Waajemi walikaribia
Lakini Koreshi alipeleka jeshi lake haraka hadi Sardes mji wa Kroiso. Kroise alituma vikosi vikubwa vya askari farasi dhidi ya waajemi; Koreshi aliyekosa askari farasi bora alikuwa aliandaa kikosi cha askari ngamia. Hapa alifuata ushauri wa jenerali Harpagus aliyejua ya kwamba farasi hawapendi harufu ya ngamia na kweli mashambulio ya askari farasi wa Lydia yalishindikana. Waajemi walizunguka mji mkuu wakashambulia wiki 2 na mwishowe kuiteka [[541 KK]].▼
Taarifa zinatofautiana kama mfalme Kroiso alikufa, aliuawa au kuhurumiwa wakati Waajemi waliteka mji wake.▼
▲Lakini Koreshi alipeleka jeshi lake haraka hadi Sardes, mji mkuu wa Kroiso.
▲Taarifa zinatofautiana kama mfalme Kroiso alikufa, aliuawa au kuhurumiwa wakati Waajemi
Hata hivyo milki ya Koreshi iliendelea sasa hadi pwani za [[Ugiriki]] pamoja na miji ya Wagiriki upande wa Anatolia ndani ya milki yake.
==Uvamizi wa Babeli==
Mfalme wa Babeli alikuwa alishirikiana na adui wa Koreshi na [[mfalme wa wafalme]] hakusita muda mrefu kumshambulia. Mwaka [[540 KK]] alivamia eneo la [[Elamu]] mpakani
Mwaka [[539 KK]] vita Mwaka uliofuata alimpa mwanawe Kambisi cheo cha mfalme wa Babeli na Koreshi mwenyewe alijiita "Mfalme wa wafalme".
Mara baada ya kushika utawala Koreshi
Tarehe [[21 Machi]] [[538 KK]] Koreshi alifika mbele ya sanamu ya Marduk katika hekalu kuu akashika mikono ya sanamu na hivyo kupokelewa kama mfalme wa Babeli. Aliendelea
==Koreshi na Wayahudi==
Line 60 ⟶ 81:
==Uenezaji katika mashariki==
==
[[Category:waliozaliwa karne ya 6 KK]]
Line 66 ⟶ 87:
[[Category:Uajemi]]
[[Jamii:Watu wa Biblia]]
{{Link FA|de}}
|