Herodoti : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza my:ဟီရော့ဒိုးတပ်
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Herodotus Massimo Inv124478.jpg|thumb|right|Herodoti wa Halikarnassos]]
 
'''Herodoti wa Halikarnassos''' ([[484 KK]] hadi [[425 KK]]) alikuwa mwandishi wa [[historia]] wakati wa [[Ugiriki ya Kale]].
'''Herodoti wa Halikarnassos''' ([[484 KK]] hadi [[425 KK]]) alikuwa mwandishi wa historia wakati wa [[Ugiriki ya Kale]]. Alikuwa mwenyeji wa mji wa Halikarnassos katika [[Asia Ndogo]] ([[Uturuki]] ya leo) akasafiri baadaye na kutembelea nchi nyingi. Herodoti ni maarufu kwa sababu alikusanya habari nyingi za historia ya kale ya mataifa ya Asia, Afrika na Ulaya. Waroma wa Kale walimwona kama "Baba wa historia". Sehemu kubwa ya maandiko yake yamepotea yanajulikana tu kwa sababu yanatajwa katika vitabu vingine vya kale. Lakini historia yake ya vita kati ya Wagiriki na [[Uajemi|Wajemi]] wakati wa karne ya 5 na 6 KK imehifadhiwa.
 
==Maisha==
Kwa jumla hata wataalamu wa leo hutegemea mara nyingi habari zilizokusanywa na Herodoti juu ya [[Babeli]], [[Misri]], [[Uajemi]] na Wagiriki wa Kale.
Alikuwa mwenyeji wa mji wa [[Halikarnassos]] katika [[Asia Ndogo]] ([[Uturuki]] ya leo) akasafiri baadaye na kutembelea nchi nyingi, kame vile [[Italia]], [[Bahari Nyeusi]] na [[Misri]]. Alikusanya habari nyingi kutoka watu wengine pia.
 
==Maandishi==
Alisafiri akitembelea [[Italia]], [[Bahari Nyeusi]] na Misri. Alikusanya habari nyingi kutoka watu wengine pia.
Herodoti ni maarufu kwa sababu alikusanya habari nyingi za historia ya kale ya mataifa ya [[Asia]], [[Afrika]] na [[Ulaya]]. [[Waroma wa Kale]] walimwona kama "Baba wa historia".
 
Sehemu kubwa ya maandishi yake yamepotea; yanajulikana tu kwa sababu yanatajwa katika vitabu vingine vya kale. Lakini historia yake ya vita kati ya Wagiriki na [[Uajemi|Wajemi]] wakati wa [[karne ya 5 KK|karne ya 5]] na [[karne ya 6 KK|6 KK]] imehifadhiwa.
 
Kwa jumla hata wataalamu wa leo hutegemea mara nyingi habari zilizokusanywa na Herodoti juu ya [[Babeli]], [[Misri]], [[Uajemi]] na WagirikiUgiriki wa Kale.
 
{{mbegu}]
 
{{Lango|Historia}}