Herodoti : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza my:ဟီရော့ဒိုးတပ် |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Herodotus Massimo Inv124478.jpg|thumb|right|Herodoti wa Halikarnassos]]
'''Herodoti wa Halikarnassos''' ([[484 KK]] hadi [[425 KK]]) alikuwa mwandishi wa [[historia]] wakati wa [[Ugiriki ya Kale]].
==Maisha==
Kwa jumla hata wataalamu wa leo hutegemea mara nyingi habari zilizokusanywa na Herodoti juu ya [[Babeli]], [[Misri]], [[Uajemi]] na Wagiriki wa Kale.▼
Alikuwa mwenyeji wa mji wa [[Halikarnassos]] katika [[Asia Ndogo]] ([[Uturuki]] ya leo) akasafiri baadaye na kutembelea nchi nyingi, kame vile [[Italia]], [[Bahari Nyeusi]] na [[Misri]]. Alikusanya habari nyingi kutoka watu wengine pia.
==Maandishi==
Herodoti ni maarufu kwa sababu alikusanya habari nyingi za historia ya kale ya mataifa ya [[Asia]], [[Afrika]] na [[Ulaya]]. [[Waroma wa Kale]] walimwona kama "Baba wa historia".
Sehemu kubwa ya maandishi yake yamepotea; yanajulikana tu kwa sababu yanatajwa katika vitabu vingine vya kale. Lakini historia yake ya vita kati ya Wagiriki na [[Uajemi|Wajemi]] wakati wa [[karne ya 5 KK|karne ya 5]] na [[karne ya 6 KK|6 KK]] imehifadhiwa.
▲Kwa jumla hata wataalamu wa leo hutegemea mara nyingi habari zilizokusanywa na Herodoti juu ya [[Babeli]], [[Misri]], [[Uajemi]] na
{{mbegu}]
{{Lango|Historia}}
|