Hekalu la Yerusalemu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Jerusalem Ugglan 1.jpg|thumb|300px|Uchoraji wa Hekalu ya Kwanza]]
'''Hekalu la Yerusalemu''' lilikuwa kitovu cha [[ibada]] za [[dini]] ya [[Uyahudi]] wakati wa [[Israeli ya Kale]].
 
Kwa jumla kulikuwa na majengo mawili yaliyofuatana kwenye [[mlima]] wa [[hekalu]] [[mji]]ni [[Yerusalemu]].
Mstari 6:
[[Imani]] ya Kiyahudi inategemea kujengwa kwa hekalu la tatu pamoja na kuja kwa [[Masiya]] wakati ujao.
 
Katika imani hiyo sehemu ya [[Patakatifu pa Patakatifu]] ndani ya hekalu palikuwailikuwa mahali ambapo [[Mungu]] mwenyewe aligusa [[dunia]].
 
== Hekalu la kwanza ==
Hekalu la kwanza lilijengwa na mfalme [[Suleimani]] kuanzia mwaka [[957 KK]]. Hekalu hilo lilichukua nafasi ya [[hema ya kukutania]] iliyotunza [[vifaa vya ibada]] za Kiyahudi tangu siku za kale (iliaminiwa tangu [[Musa]]).
 
HekaluHasa hilowakati lilikuwawa mahali[[urekebisho]] pa([[622 pekeeKK]] palipotazamiwa- kuwa[[609 sehemuKK]]) wa [[mfalme Yosia]] hekalu hilo lilifikia hatua ya kuhesabiwa mahali halali kwapekee pa ibada za [[sadaka]].
 
Hata hivyo kuna taarifa, hasa katika sehemu za zamani za [[Biblia]], kuhusu ibada kwenye "mahali pa juu" (yaani juu ya milima na vilima) zilizolaumiwa baadaye kama ishara ya [[imani potofu baada ya [[urekebisho]] wa mfalme [[Yosia]] uliofanya hekalu la Yerusalemu pekee kuwa halali.
 
Hekalu hilo la Suleimani lilibomolewa mwaka [[587 KK]] wakati mfalme [[Nebukadreza II]] wa [[Babeli]] alipovamia Yerusalemu na kuharibu mji mzima.
 
== Hekalu la Pilipili ==
Baada ya ushindi wa [[Waajemi]] juu ya Babeli (mwaka [[539 KK]]) mfalme [[Koreshi Mkuu]] aliwaruhusu [[Wayahudi]] kujenga upya hekalu.
 
Katika Biblia, [[Kitabukitabu cha Ezra]], katikapamoja Bibliana vile vya [[nabii Hagai]] na [[nabii Zekaria]], kinasimuliavinasimulia habari hizi.
 
Ujenzi ulifuata mpango wa hekalu la kwanza na ulifanyika mahali palepale Yerusalemu kwenye "mlima wa hekalu".
Mstari 28:
Hekalu liliharamishwa na mfalme [[Antioko IV]] mwaka [[169 KK]] alipoweka hapa [[sanamu]] ya mungu wa Kigiriki [[Zeus]].
 
Hatua hiyo ilisababisha upinzani wa [[Wamakabayo]] waliorudisha ibada ya Kiyahudi hekaluni na hadi leo sherehe ya [[Hanuka]] inakumbusha kutakaswa kwa hekalu mwaka [[167 KK]].
 
=== Matengenezo chini ya Herode ===
Mnamo mwaka [[21 KK]] mfalme [[Herode Mkuu]] aliamuru matengenezo ya hekalu.
 
Wataalamu wengi huona ya kwamba matengenezo yalifanana na ujenzi mpya wa hekalu kwa jinsi lililopambwa na kuongezeka.
 
Kwa kawaida hekalu linalotajwa katika [[Agano Jipya]] ni hilo la Herode.
[[Picha:Sack of jerusalem.JPG|thumb|300px|Wanajeshi Waroma wakibeba kinara cha mishumaa na vifaa vingine kutoka Hekalu la Yerusalemu baada ya huliharibu mwaka 70]]
Mwaka [[70]] jeshi la [[Dola la Roma]] lilivamia Yerusalemu na kubomoa hekalu.
 
==Mwisho wa hekalu==
Kuta za msingi zilibaki na ukuta mkubwa wa magharibi unasimama hadi leo, ukijulikana kama [[Ukuta wa Maombolezo]] wa Wayahudi.
Mwaka [[70]] jeshi la [[Dola la Roma]] lilivamia Yerusalemu na kubomoa hekalu, tarehe ileile lilipobomolewa mara ya kwanza.
 
Kuta za msingi tu zilibaki na ukuta mkubwa wa magharibi unasimama hadi leo, ukijulikana kama [[Ukuta wa Maombolezo]] wana ni [[patakatifu]] pa Wayahudi.
 
== Baada ya kuharibika kwa hekalu ==
Line 46 ⟶ 48:
Mara mbili kulitokea majaribio ya kujenga tena hekalu la Kiyahudi: mara ya kwanza chini ya [[Kaisari]] [[Julian Apostata]], na mara ya pili wakati wa uvamizi wa [[Uajemi]] kwenye [[vita]] dhidi ya [[Bizanti]] mnamo [[614]] lakini majaribio yote yalishindikana.
 
[[Waislamu]] walipovamia Yerusalemu walikuta mlima wa hekalu kama mahali pa maghofu tu wakajenga hapahapo [[misikiti]] miwili: [[msikiti wa Al Aqsa]]. pamoja na [[Kubba ya Mwamba]].
 
Leo hii kuna majengo ya Kiislamu ya [[msikiti wa Al Aqsa]] pamoja na [[Kubba ya Mwamba]].
 
Ukuta wa magharibi wa hekalu la Herode unaoitwa [[Ukuta wa Maombolezo]] ni [[patakatifu]] pa Wayahudi.
 
[[Jamii:Yerusalemu]]