Koreshi Mkuu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 76:
[[Picha:Persia-Cyrus2-World3.png|350px|thumbnail|right|Upanuzi wa Milki ya Uajemi wakati wa kifo cha Koreshi (njano juu ya mipaka ya kisasa),]]
 
==Uenezaji katikaupande wa mashariki==
Baada ya ushindi juu ya Babeli Koreshi alitawala [[Asia Ndogo]], [[Mesopotamia]] na [[Shamu]] hadi [[Palestina]] mpakani wakwa [[Misri]]. SasaHapo aliangalia mipaka yake upande wa mashariki.
 
Uajemi inapakana upande wa mashariki na nchi za [[Asia ya Kati]] zilizokaliwa na makabila ya wahamiaji pamoja na wakazi wa [[oasisi]] penye miji au makabila makali ya milimani. Wengi wao walitumia lugha za karibu na Kiajemi. Wahamiaji hao walikuwa hatari kwa milki za nyanda za juu za Uajemi wakati ule na pia kwa [[milenia]] baadaye kwa sababu waliondoka mara kwa mara katika maisha magumu ya ma[[pori]] zaoyao kutafuta [[utajiri]] wa milki za nyanda za juu. Koreshi alijaribu kupanushakupanua mamlaka yake upande wao kwa kusudi la kuwanyamazioshakuwanyamazisha na kusimamisha mashambulio na uporaji wao katika majimbo ya mpakani.
 
Mwaka [[538 KK]] alivamia [[Baktria]] (Kaskazini yamwa [[Afghanistan]] ya leo) na kuifanya jimbo la milki yake, akaendelea kuvamia pia [[Sogdia]] na [[Khorezmia]]. Kupitia Afghanistan ya leo alivuka pia njia ya Khyber hadi bonde la Indus.
 
Ilhali aliweza kuunganisha sehemu ya maeneo haya na milki yake alishindwa kutawala wahamisahi wa tambarare za kaskazini mashariki. Katika mapigano katika maeneo yale aliuawa vitani mwaka [[530 KK]]. [[Kaburi]] lake inaonyeshwalinaonyeshwa huko [[Pasargadi]].

Katika utawala alifuatwa na mwanawe [[Kambisi II]].
[[Picha:Cyrus Cylinder.jpg|350px|thumbnail|left|[[Silinda ya Koreishi;]], tangazo lake baada ya kutwaa Babeli]]
==Siasa ya kidini==
Baada ya kueneza milki yake Koreshi alitawala watu wenye [[lugha]] na [[dini]] mbalimbali. Wakati wa kutwaa Babeli aliona ya kwamba mfalme na adui wake Nabonidi alijitengenezaalijitengenezea upinzani kati ya watu wake kutokana na kuupuzakupuuza ibada ya Marduk, mungu wa Babeli.
 
KushughulikaHivyo kushughulikia dini mbalimbali za watu chini yake kulikuwa sehemu muhimu ya [[siasa]] yake. Katika amri ya Koreishi jinsi ilivyoripotiwa katika Kitabu cha Ezra mungu wa Israeli anaitwa "Bwana, Mungu wa mbingu" aliyempa mfalme huyu falme zote za dunia. kwa Wayahudi hii ilikuwa kama tamko la imani kwa Mungu wao hivyo walimsifu Koreshi sana.
Kwa lugha ya kufanana Koreshi alitoa pia sifa za Marduk mbele ya watu wa Babeli: katika [[silinda ya Koreshi|tangazo lake baada ya kutwaa Babeli aliandika ya kwamba Marduk alimteua kuwa mfalme juu ya yote na kumbariki kila siku. <ref>"(Marduk) took under his hand Cyrus, king of the city of Anshan, and called him by his name, proclaiming him aloud for the kingship over all of everything…. Marduk, the great lord, bestowed on me as my destiny the great magnanimity of one who loves Babylon, and I every day sought him out in awe. … Marduk, the great lord, rejoiced at [my good] deeds, and he pronounced a sweet blessing over me, Cyrus, the king who fears him" tafsiri kutoka [http://www.britishmuseum.org/research/search_the_collection_database/search_object_details.aspx?objectid=327188&partid=1 The Cyrus Cylinder - The Bristish Museum homepage]</ref> Katika tangazo hili Koreshi alijivunia pia kuwa alirudisha sanamu zote za miungu kutoka ufalme wa Babeli zilizokusanywa na Nabonidi katika mji wa Babeli kwenda miji yao ya asili.
 
Katika amri ya Koreshi jinsi ilivyoripotiwa katika Kitabu cha Ezra Mungu wa Israeli anaitwa "Bwana, Mungu wa mbingu" aliyempa mfalme huyu falme zote za dunia. Kwa Wayahudi hii ilikuwa kama [[tamko la imani]] kwa Mungu wao, hivyo walimsifu Koreshi sana.
Siasa hii katika mambo ya kidini hutazamiwa kama azimio lenye hekima kwa kuonyesha stahamala kwa dini na tamaduni mbalimbali.
 
Kwa lugha ya kufanana Koreshi alitoa pia sifa za Marduk mbele ya watu wa Babeli: katika [[silinda ya Koreshi|tangazo lake]] baada ya kutwaa Babeli aliandika ya kwamba Marduk alimteua kuwa mfalme juu ya yote na kumbariki kila siku. <ref>"(Marduk) took under his hand Cyrus, king of the city of Anshan, and called him by his name, proclaiming him aloud for the kingship over all of everything…. Marduk, the great lord, bestowed on me as my destiny the great magnanimity of one who loves Babylon, and I every day sought him out in awe. … Marduk, the great lord, rejoiced at [my good] deeds, and he pronounced a sweet blessing over me, Cyrus, the king who fears him" tafsiri kutoka [http://www.britishmuseum.org/research/search_the_collection_database/search_object_details.aspx?objectid=327188&partid=1 The Cyrus Cylinder - The Bristish Museum homepage]</ref> Katika tangazo hili Koreshi alijivunia pia kuwa alirudisha sanamu zote za miungu kutoka ufalme wa Babeli zilizokusanywa na Nabonidi katika mji wa Babeli kwenda miji yao ya asili.
 
Katika tangazo hili Koreshi alijivunia pia kuwa alirudisha sanamu zote za miungu kutoka ufalme wa Babeli zilizokusanywa na Nabonidi katika mji wa Babeli kwenda miji yao ya asili.
 
Siasa hii katika mambo ya kidini hutazamiwa kama azimio lenye [[hekima]] kwa kuonyesha stahamala kwa dini na tamaduni mbalimbali.
 
==Koreshi na Wayahudi==
Line 101 ⟶ 108:
 
Kutokana na siasa hii Wayahudi walimheshimu na kumsifu Koreshi kushinda watawala wengine nje ya taifa lao. Koreshi ni mfalme wa mataifa wa pekee anayeitwa na Biblia "[[Masiya]]" <ref>"Haya ndiyo Bwana amwambiayo Koreshi, masihi wake" Isaya 45,1</ref>
 
 
 
==Marejeo==