Sokrates : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
TjBot (majadiliano | michango) d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza ilo:Socrates |
kuswahilisha makosa |
||
Mstari 1:
'''Sokrates''' ({{lang-grc|Σωκράτης|Sōkrátēs}}, 470–399 KK) alikuwa [[Ugiriki|Mgiriki]] (mtu wa [[Athens]]), [[falsafa|mwanafalsafa]]. <ref>[[Anthony Gottlieb]] alimwita shahidi na mtakatifu wa falsafa (Monk & Raphael, 2000)
Nje ya falsafa, anajulikana hasa kwa kifo chake. Alifariki
Maarifa mengi kuhusu Sokrates yametokea mazungumzo yaliyoandikwa na [[Plato]], mwanafunzi wake na mwanafalsafa, maandiko ya [[Zenephon]], mtu wa rika lake, [[Aristofanes]], na [[Aristotle]]. Kuna matatizo katika maandiko yanayomhusu Sokrates, hivyo sio vyema kutegemea chanzo kimoja tu. Ukitazama mambo yanayofanana baina ya maandiko, na ukaachilia mbali mambo yanayofikiriwa kuongezwa na mwandishi, Sokrates mwenyewe ataonekana.
* [[Pithagoras]]
==Marejeo==
<references/>
{{mbegu-mwandishi-Ulaya}}
|