Euphrase Kezilahabi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 2:
 
==Maisha==
Euphrase Kezilahabi alizaliwa 13 Aprili 1944 huko Namagondo kisiwani Ukerewe kilichopo ndani ya Ziwa Viktoria. Babake Vincent
Kezilahabi alipata [[B.A.]] yake kwenye [[Chuo Kikuu cha Dar es Salaam]] mnamo mwaka 1970 akawa mwalimu na kufundisha katika shule mbalimbali za Tanzania. Baadaye alirudi chuoni kwa masomo ya juu na baadaye kufundisha hapa baada ya kumaliza [[M.A.]]. Akaendelea na masomo ya [[Ph.D.]] huko [[Marekani]] kwenye Chuo Kikuu cha [[Wisconsin]] Madison alipotoa [[tasinifu]] yake mwaka 1985 kuhusu "African Philosophy and the Problem of Literary Interpretation". Sasa (mwaka 2012) ni profesa wa lugha za Kiafrika kwenye Chuo Kikuu cha Botswana.0
Tilibuzya alikuwa msimamizi wa kijiji na Euphrase alikuwa na ndugu 10 yaani wavulana 5 na wasichana 5. Alisoma shule ya msingi ya [[Nakasayenge]] halafu tangu 1957 Seminari ya kikatoliki ya Nyegezi aliyomaliza mwaka 1966. <ref>Noronha analeta habari kuhusu maisha yake tangu utotoni hadi kuwa mhadhiri, mengine katika "profile" (taz. chini)</ref>
 
1967 alijiandiskisha kwenye [[Chuo Kikuu cha Dar es Salaam]] akasoma ualimu na fasihi hadi digrii ya [[B.A.]] katika mwaka 1970. Mwaka uleule 1970 akawa mwalimu wa shule ya sekondari [[Mzumbe]] ([[Morogoro]]) halafu kwenye shule ya sekondari ya Mkwawa (Iringa).
 
Kezilahabi1971 alipataalirudi [[B.A.]] yake kwenye [[Chuo Kikuu chachuoni Dar es Salaam]] mnamoakawa mwakamhadhiri 1970msaidizi akawawa mwalimuchuo naalipoandika kufundishapia katikatasinifu shuleya mbalimbali za TanzaniaM.A. Baadayekuhusu alirudi"Shaaban chuoniRobert: kwaMwandishi masomowa yaRiwaya", juutangu na1974 baadayemhadhiri kufundishakamili hapana baada1978 yamhadhiri kumaliza [[M.A.]]mwandamizi. Akaendelea na masomo ya [[Ph.D.]] huko [[Marekani]] kwenye Chuo Kikuu cha [[Wisconsin]] Madison alipotoa [[tasinifu]] yake mwaka 1985 kuhusu "African Philosophy and the Problem of Literary Interpretation". Sasa (mwaka 2012) ni profesa wa lugha za Kiafrika kwenye Chuo Kikuu cha Botswana.0
 
==Maandiko==
Line 26 ⟶ 31:
*[http://www.britannica.com/EBchecked/topic/315981/Euphrase-Kezilahabi Euphrase Kezilahabi kwenye Britannica online]
* [http://www.nelk-frankfurt.de/uploads/Euphrase-Kezilahabi-Profile.pdf Profile of Euphrase Kezilahabi]
* [http://www.swahili-literatur.at/nacherzaehlungen/rosamistika.pdf Lourenco Noronha, Euphrase Kezilahabi 1971 Rosa Mistika (kwa lugha ya Kijerumani), Taasisi ya Taaluma ya Bara la Afrika, Chuo Kikuu cha Vienna, Mei 2009 (iliangaliwa Januari 2013)
* [http://matondo.blogspot.de/2010/01/euphrase-kezilahabi-kaptula-la-marx-na.html Blogu juu ya tamthiliya yake "Kaptula la Marx]