Tabianchi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 50:
Maeneo penye tabianchi yabisi yapo hasa katika sehemu za [[nusutropiki]] zisizofikiwa na upepo wa pasati lakini kuna tabianchi yabisi pia penginepo kwa mfano kwenye milima ya juu au karibu na ncha za dunia.
[[Picha:Klimagürtel-der-erde-gemäßigte-zone.png|250px|thumbnail|right|Tabianchi
===C: Tabianchi fufutende ya latitudo za kati===
Kanda za tabianchi hii hupatikana kati ya kanda la nusutropiki (lenye halijoto wastani katika mwaka juu ya 20°C) na kanda la baridi (lenye halijoti wastani chini ya 10°C wakati wa mwezi wa joto zaidi).
Uoto asilia katika kanda hizi ni hasa misitu; ndani ya bara kuna pia maeneo ya manyasi na pia nusujangwa. Usimbishaji hutokea miezi yote ila tu ni zaidi karibu na bahari
Hapo kuna maeneo tofauti kama yafuatayo:
* '''Tabianchi ya [[kimediteranea]] au ya [[nusutropiki]] na majirajoto kavu:''' aina hii hutokea kwa kawaida upande wa magharibi ya bara fulani baina latitudo za 30° hadi 45°. Majirabaridi huwa poa na mvua nyingi; majirajoto kuna halihewa yabisi na joto kutokana na kipaumbele wa [[kanieneo angahewa]] ya juu isipokuwa katika maeneo ya pwani ambako mkondo baridi wa bahari inaweza kupoza joto na kuleta ukungu bila mvua.
Mifano ni [[Cape Town]] katika [[Afrika Kusini]], [[Yerusalemu]] katika [[Mashariki ya Kati]], [[Los Angeles]] na [[San Francisco]] katika [[Marekani]].
* '''Tabianchi nyevu ya nusutropiki''' hutokea zaidi ndani ya bara au kwenye pwani za mashariki, hasahasa katika digrii za latitudo 30°. Tofauti na tabia za kimediteranea majirajoto kuna unyevuanga juu. Pale ambako tabianchi hizi zinatokea katika [[Asia ya Mashariki]] majirabaridi ni yabisi na baridi zaidi kutokana na kanieneo angahewa ya juu kutoka Siberia lakini majirajoto nyevu sana kutokana na athira ya monsuni za Asia ya Kusini Magharibi.
===D: Tabianchi baridi ya latitudo za kati===
Hizi za kupoa huelezwa kuwa na halijoto ya wastani chini ya -1°C wakati wa mwezi baridi na juu ya 10°C wakati wa mwezi wa joto zaidi.
===E: Tabianchi ya nchani===
▲Uoto asilia katika kanda hizi ni hasa misitu; ndani ya bara kuna pia maeneo ya manyasi na pia nusujangwa. Usimbishaji hutokea miezi yote ila tu ni zaidi karibu na bahari inaweeza kupungua mbali na bahari.
== Marejeo ==
|