Wilaya ya Chemba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
Kuongeza habari kutoka makala ya Chemba |
||
Mstari 4:
Kwa sasa Wilaya ya Chemba inajumuisha tarafa za [[Goima]], [[Mondo]], [[Kwamtoro]] na [[Farkwa]] pamoja na kata zao.
Wakazi wengi wa Chemba ni wakulima na wafugaji na mazao yao ni kama vile [[mahindi]], [[ulezi]], [[alizeti]], [[uwele]], [[udo]]. Wanyama wanaofugwa ni kama vile [[ng'ombe]], [[mbuzi]], [[punda]] na [[kondoo]].
Chemba ni miongoni mwa sehemu ambazo zipo nyuma sana kielimu kwani huwezi kuta watu watano waliofika chuo kikuu, eneo hili lina shida kubwa ya maji katika vijiji vyake vyote.
|