Maana ya maisha : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza tl:Kahulugan ng buhay
d Minor fix using AWB
Mstari 2:
[[File:Woher kommen wir Wer sind wir Wohin gehen wir.jpg|thumb|right|355px|''Tunatoka Wapi? Sisi ni nini? Tunaenda Wapi?''<br />Mojawapo ya michoro maarufu ya msanii [[Paul Gauguin]] wa kipindi cha baada ya uimpreshonisti.]]
 
'''Maana ya maisha''' ni mojawapo ya masuala ya kifalsafa kuhusu madhumuni na umuhimu wa kuwepo duniani au wa maisha kwa jumla. Suala hili linaweza kujitokeza kupitia maswali mengi tofauti yanohusiana, kama vile ''Mbona tumekuwepo?'', ''Maisha yanahusu nini?'' na ''Ni nini maana ya haya yote?''
 
Limekuwa suala kuu la udadisi wa [[sayansi]], [[falsafa]] na [[teolojia]] tangu zamani. Kumekuwa na idadi kubwa ya majibu kwa maswali haya kutoka asili mbalimbali za kiitikadi na ki[[utamaduni]].
Mstari 8:
Maana ya maisha imechanganyikana kwa undani na dhana za ki[[dini]] na kifalsafa na hugusia masuala mengine mengi, kama vile maana ya kiishara, [[ontolojia]], [[thamani (falsafa)|thamani]], kusudi, [[maadili]], mema na mabaya, [[hiari]], dhana za [[Mungu]], kuwepo kwa Mungu, [[nafsi]], na kinachoendelea baada ya maisha haya.
 
Michango ya sayansi kawaida ni ya moja kwa moja na inaeleza ukweli kutokana na yanayopimika kuhusu [[ulimwengu]]; sayansi inatoa baadhi ya muktadha na inaweka mipaka kwa mazungumzo kuhusu mada zinazohusiana.
 
Mbadala, mkabala ambapo binadamu ndiye lengo, na si mtazamio unaotumia nguvu za kikozmiki na za kidini ni swali: "Ni nini maana ya maisha yangu?" Thamani ya swali linalohusu kusudi la maisha huweza kuwiana na kuupata ukweli wa mwisho, au hisia za umoja, au hisia ya utakatifu.
Mstari 17:
 
*Maana ya maisha ni nini? Nini maana ya haya yote? Sisi ni nani? <ref name="Westphal">{{cite book |author=Jonathan Westphal |title=Philosophical Propositions: An Introduction to Philosophy |publisher=Routledge |year=1998 |isbn=0415170532}}</ref><ref name="Nozick">{{cite book |author=[[Robert Nozick]] |title=[[Philosophical Explanations]] |publisher=Harvard University Press |year=1981 |isbn=0674664795}}</ref><ref name="Jewell">{{cite book |author=Albert Jewell |title=Ageing, Spirituality and Well-Being |publisher=Jessica Kingsley
Publishers |year=2003 |isbn=184310167X}}</ref><ref name="WITMOL">{{cite web |title=Question of the Month: What Is The Meaning Of Life? |work=[[Philosophy Now]] |publisher=Issue 59 |url=http://www.philosophynow.org/issue59/59question.htm |accessdate=2007-07-26}}</ref><ref name="Yeffeth">{{cite book |author=Glenn Yeffeth |title=The Anthology at the End of the Universe: Leading Science Fiction Authors on Douglas Adams' The Hitchhiker's Guide to the Galaxy |publisher=BenBella Books, Inc |year=2005 |isbn=1932100563}}</ref><ref name="Seaman">{{cite book |author=David Seaman |title=The Real Meaning of Life |publisher=New World Library |year=2005 |isbn=1577315146}}</ref><ref name="Baggini">{{cite book |author=[[Julian Baggini]] |title=What's It All About? Philosophy and the Meaning of Life |publisher=Granta Books |month=SeptemberSeptemba | year=2004 |location=USA |isbn=1862076618}}
</ref>
 
*Kwa nini tumekuwepo? Sababu yetu ya kuwa hapa ni nini? <ref name="Baggini" /><ref name="Thiemann & Placher">{{cite book |author=[[Ronald F. Thiemann]]; William Carl Placher |title=Why Are We Here?: Everyday Questions and the Christian Life |publisher=Continuum International Publishing Group |year=1998 |isbn=1563382369}}</ref><ref name="Marcellino">{{cite book |author=Dennis Marcellino |title=Why Are We Here?: The Scientific Answer to this Age-old Question (that you don't need to be a scientist to understand) |publisher=Lighthouse Pub |year=1996 |isbn=0945272103}}</ref><ref name="Curtiss">{{cite book |author=F. Homer Curtiss |title=Why Are We Here |publisher=Kessinger Publishing |year=2003 |isbn=0766138992}}</ref><ref name="Badke">{{cite book |author= William B. Badke |title=The Hitchhiker's Guide to the Meaning of Everything |publisher=Kregel Publications |year=2005 |isbn=0825420695}}</ref><ref name="Hua">{{cite book |author=Hsuan Hua |title=Words of Wisdom: Beginning Buddhism |publisher=Dharma Realm Buddhist Association |year=2003 |isbn=0881393029}}</ref>
 
*Asili ya maisha ni nini? <ref name="Davies">{{cite book |author=[[Paul Davies]] |title=The Fifth Miracle: The Search for the Origin and Meaning of Life |publisher=Simon & Schuster |date=MarchMachi 2000 |url=http://www.simonsays.com/content/book.cfm?tab=1&pid=410133 |accessdate=2007-07-26 |isbn=0-684-86309-X}}</ref><ref name="Fadul">{{cite book |author=[[Jose Fadul]] |title=Lessons in Chess, Lessons in Life: Application of the Psychology of the Game in Real Life |publisher=Lulu Press |date= 2008 |isbn=978-0-557-02158-1}}</ref>
 
*Hali ya maisha ni nini? Hali ya ukweli ni nini? <ref name="Davies" /><ref name="Christiansen & Baum & Bass-Haugen">{{cite book |author=Charles Christiansen; Carolyn Manville Baum; Julie Bass-Haugen |title=Occupational Therapy: Performance, Participation, and Well-Being |publisher=SLACK Incorporated |year=2005 |isbn=1556425309}}</ref><ref name="Walker">{{cite book |author=[[Evan Harris Walker]] |title=The Physics of Consciousness: The Quantum Mind and the Meaning of Life |publisher=Perseus Books |year=2000 |isbn=0738204366}}</ref>
 
Mstari 33:
 
*Thamani ya maisha ni nini? <ref name="Fadul" /><ref name="Van Hooft">{{cite book |author=Stan Van Hooft |title=Life, Death, and Subjectivity: Moral Sources in Bioethics |publisher=Rodopi |year=2004 |isbn=9042019123}}</ref>
 
*Sababu ya kuishi ni nini? Mbona tunaishi? <ref name="Hua" /><ref name="Fadul" /><ref name="Shafer-Landau & Cuneo">{{cite book |author=Russ Shafer-Landau; Terence Cuneo |title=Foundations of Ethics: An Anthology |publisher=Blackwell Publishing |year=2007 |isbn=1405129514}}</ref>
 
==Uchunguzi wa kisayansi==
[[File:DNA Overview.png|thumb|left|140px|[[DNA]] ambayo ina maelekezo ya kijenitiki kwa ajili ya maendeleo na utendaji wa [[uhai|viumbe vyote hai]].]]
 
Mstari 44:
 
===Umuhimu wa kisaikolojia na thamani katika maisha===
Sayansi huenda ikashindwa kutuambia nini ni cha thamani muhimu maishani, lakini baadhi ya masomo hugusia maswali yanayohusiana: watafiti katika [[saikolojia chanya]] (na, mapema na bila umakini mwingi, katika [[saikolojia]] ya [[binadamu]]) hufanya utafiti kuhusu sababu zinazoleta kuridhika na maisha,<ref>E. Diener, J.J. Sapyta, E. Suh (1998). "Subjective Well-Being Is Essential to Well-Being." ''Psychological Inquiry'', Lawrence Earlbaum</ref> kujihusisha vikamilifu katika shughuli,<ref>Csíkszentmihályi, Mihály (1990). ''Flow: The Balls of Optimal Experience''. New York: Harper and Row. ISBN 0-06-092043-2.</ref> kufanya mchango zaidi kwa kutumia vipawa vya kibinafsi,<ref>Peterson, Christopher; Seligman, Martin (2004). ''Character strengths and virtues: A handbook and classification''. Oxford: Oxford University Press. ISBN 0-19-516701-5.</ref> na maana iliyo na msingi wa kuwekeza katika jambo kubwa kuliko mtu binafsi.<ref>Seligman, M.E.P. (2002). ''Authentic Happiness: Using the New Positive Psychology to Realize Your Potential for Lasting Fulfillment.'' New York: Free Press. ISBN 0-7432-2297-0 (Paperback edition, 2004, Free Press, ISBN 0-7432-2298-9)</ref>
 
Aina moja ya mfumo wa thamani uliopendekezwa na wanaelimunafsia wa jamii, uitwayo kwa upana Nadharia ya Kupambana na Mambo ya Kutisha, inasema kwamba maana yote ya binadamu inatokana na hofu ya kimsingi ya kifo, ambapo maadili yanachaguliwa yanapotusaidia kuepukana na kumbukumbu ya kifo.
Mstari 55:
Kufanya kazi kwa abayojenesisi hakueleweki kwa ufasaha: nadharia mashuhuri ni pamoja na nadharia ya dunia ya RNA (vitoaji aina sawa katika makao ya RNA) na nadhari ya dunia ya chuma-sulfuri (umetaboli bila Jenitiki). Nadharia ya [[mabadiliko ya viumbe]] haijaribu kuelezea asili ya maisha bali utaratibu ambao viumbe tofauti vimepitia katika kipindi chote cha historia kupitia [[mabadiliko ya ghafla ya kijenitiki]] na uteuzi wa kiasili<ref>[[Charles Darwin]] (1859). ''[[On the Origin of Species]]''.</ref> Wakati wa mwisho wa karne ya 20, kwa kuzingatia ufahamu kutoka [[mtazamo wa mbadiliko wa viumbe unaotegemea jeni haswa]], wanabaiolojia George C. Williams, [[Richard Dawkins]], David Haig, miongoni mwa wengine, wanahitimisha kwamba ikiwa kuna kazi msingi ya maisha, ni kujinakilisha kwa DNA na kuendelea kuwa hai kwa jeni za mtu.<ref name="Dawkins selfish gene">{{cite book |author=[[Richard Dawkins]] |title=[[The Selfish Gene]] |publisher=Oxford University Press |year=1976 |isbn=019857519X}}</ref><ref name="Dawkins river">{{cite book |author=[[Richard Dawkins]] |title=[[River out of Eden]] |publisher=Basic Books |location=New York |year=1995 |isbn=0-465-06990-8}}</ref>
 
Hata hivyo, ingawa wanasayansi wameyachunguza maisha vilivyo Duniani, kuyafafanua [[maisha]] kibayana bado ni changamoto.<ref>[http://www.astrobio.net/news/article226 Astrobiology Magazine: Defining Life]</ref><ref>[http://www.nbi.dk/~emmeche/cePubl/97e.defLife.v3f.html Defining Life, Explaining Emergence<!-- Bot generated title -->]</ref> Kimwili, mtu anaweza kusema kwamba maisha "hula entirofi hasi" <ref>{{cite book | last = Schrödinger | first = Erwin | title = What is Life? | publisher = Cambridge University Press | year = 1944 | isbn = 0-521-42708-8}}</ref><ref>{{cite book | last = Margulis | first = Lynn | coauthors = Sagan, Dorion | title = What is Life? | publisher = University of California Press | year = 1995 | isbn = 0-520-22021-8}}</ref> ambayo inahusu utaratibu ambao waliohai wanapunguza entirofi yao ya kindani kwa gharama ya aina fulani ya nishati inayochukuliwa ndani kutoka mazingira.<ref>{{cite book | last = Lovelock | first = James | title = Gaia – a New Look at Life on Earth | publisher = Oxford University Press | year = 2000 | isbn = 0-19-286218-9}}</ref><ref>{{cite book | last = Avery | first = John | title = Information Theory and Evolution | publisher = World Scientific | year = 2003 | isbn = 9812383999}}</ref>
 
Wanabiolojia kiujumla wanakubaliana kwamba viumbe mbalimbali ni [[mifumo inayojipanga yenyewe]] inayosimamia mazingira ya ndani ili kudumisha hali hii ya mpango, shughuli za kimetaboliki hutumika kutoa nishati, na uzazi unaruhusu maisha kuendelea kwa vizazi vingi. Kawaida, maumbile huwa sikivu kwa uchochezi na habari za kijenitiki huelekea kubadilida kutoka kizazi hadi kizazi ili kuruhusu marekebisho kupitia mabadiliko ya kimwili, hizi sifa huongeza nafasi ya kuishi ya kiumbe binafsi na wazao wake kwa mtiririko huo.<ref>{{cite web|url=http://www2.una.edu/pdavis/BI%20101/Overview%20Fall%202004.htm |title=How to Define Life |accessdate=2008-10-17 |last=Davison |first=Paul G. |publisher=The University of North Alabama }}</ref><ref>Witzany, G. (2007). The Logos of the Bios 2. Bio-Communication. Helsinki, Umweb.</ref>
 
Viwakala visivyokuwa vya seli vinavyozaana, hasa [[virusi]], kwa ujumla si havitazamwi kama viumbe kwa sababu haviwezi kuzaana kwa "kujitegemea" au kuendeza shughuli za kimetaboliki. Pambano hili ni tatizo, ingawa, baadhi ya vimelea na visimbayonti vya ndani ya mwili pia vinaweza kuishi maisha ya kujitegemea.
Astrobaiolojia inajihusisha na masomo ya uwezekano wa kuwa na aina tofauti ya viumbe vyenye uhai katika ulimwengu mwingine, kama vile miundo ya kujinakilisha kutoka vifaa vingine visivyo DNA.
 
Mstari 66:
 
Ingawa mfano wa Mlipuko Mkubwa ulipambana na mashaka mengi ulipozinduliwa kwa mara ya kwanza, shaka iliyochangiwa na uhusiano na dhana ya dini ya [[uumbaji]], imekuja kuungwa mkono na uchunguzi kadhaa wa kujitegemea.<ref>{{cite book | author = Helge Kragh | title = Cosmology and Controversy | publisher = Princeton University Press | year = 1996 | isbn=069100546X}}</ref> Hata hivyo, fizikia ya sasa inaweza kuelezea tu ulimwengu wa mapema kutoka sekunde 10<sup>_"43</sup> baada yaMlipuko Mkubwa (ambapo muda sufuri unawiana na kipimo joto kinafikia idadi isiyopimika), nadharia fulani ya mvuto wa kikwontamu huenda ikahitajika kurudi nyakati zazaidi. Hata hivyo wanafizikia wengi wamedadisi kuhusu nini kinachoweza kuwa kimetangulia kikomo hiki, na jinsi ulimwengu ulivyoanza.<ref name="Prantzos & Lyle">{{cite book |author=Nikos Prantzos; Stephen Lyle |title=Our Cosmic Future: Humanity's Fate in the Universe |publisher=Cambridge University Press |year=2000 |isbn=052177098X}}</ref> Baadhi ya wanafizikia hudhani kuwa Mlipuko Mkubwa ulitokea kiajali, na wakati kanuni ya kianthropiki inapozingatiwa, mara nyingi hutafsiriwa kama kuashiria kuwepo kwa ulimwengu maridhawa.<ref name="Edwards">{{cite book |author=Rem B. Edwards |title=What Caused the Big Bang? |publisher=Rodopi |year=2001 |isbn=9042014075}}</ref>
 
Hata hivyo, haijalishi jinsi ulimwengu ulikuja kuwepo, hatma ya binadamu katika ulimwengu huu ni maangamizi kwani - hata kama ubinadamu utaishi muda huo wote - maisha ya kibaiolojia hatimaye yatashindwa kujiendeleza, iwe kupitia Kuthelujika Kukubwa, Kuraruka Kukubwa au Kupasuka Kukubw]. Ni bayana kuwa njia pekee ya kuishi milele itakuwa kuuongoza mtiririko wa nishati kwenye Kiasi cha Kikosimki na kuibadilisha hatma ya ulimwengu.<ref name="Prantzos & Lyle" />{{page number}}
 
Mstari 75:
Mbinu punguzaji na za kuviondoa vitu, kwa vile Mfano wa Rasimu Nyingi, hudai kwamba fahamu inaweza kuelezewa kikamilifu kupitia Sayansi niurolojia, kupitia utendaji kazi wa [[ubongo]] na [[niuroni]] zake, hivyo basi kushikilia ubaiolojia wa kihalisia.<ref name="Gray" /><ref name="Churchland">{{cite book |author=[[Paul Churchland|Paul M. Churchland]] |title=A Neurocomputational Perspective: The Nature of Mind and the Structure of Science |publisher= MIT Press |year=1989 |isbn=0262531062}}</ref><ref name="Dennett">{{cite book |author=[[Daniel Dennett|Daniel Clement Dennett]] |title=[[Consciousness Explained]] |publisher=Little, Brown and Co. |year=1991 |isbn=0316180661}}</ref>
 
Kwa upande mwingine, baadhi ya wanasayansi, kama vile Andrei Linde, wanadhani kwamba fahamu, kama nafasi-wakati, huenda ikiwa na daraja zake za kindani za uhuru, na kwamba maoni ya mtu binafsi yanaweza kuwa ya halisi kama (au hata halisi kuliko) vifaa tunavyoweza kuviguza na kuviona.<ref name="Barrow, Davies, Harper">{{cite book |author=[[John D. Barrow]]; [[Paul Davies|Paul C. W. Davies]]; Charles L. Harper |title=Science and Ultimate Reality: Quantum Theory, Cosmology and Complexity |publisher=Cambridge University Press |year=2004 |isbn=052183113X}}</ref>
 
Nadharia ambazo hazijabainishwa za fahamu na nafasi-wakati zinaelezea kuhusu fahamu katika kuelezea "nafasi ya vipengele vyenye fahamu",<ref name="Barrow, Davies, Harper" /> mara nyingi zikijumuisha idadi kubwa ya mitazamo ya ziada.<ref name="Millay, Heinze">{{cite book |author=Jean Millay; Ruth-Inge Heinze |title=Multidimensional Mind: Remote Viewing in Hyperspace |publisher=North Atlantic Books |year=1999 |isbn=1556433069}}</ref> Nadharia za sumakuumeme za fahamu zinatatua tatizo lenye vipengele vingi la fahamu katika kusema kwamba eneo la sumakuumeme linalotokana na ubongo ndilo haswa linalobeba fahamu zoefu, hata hivyo kuna kutokubaliana kuhusu kutekelezwa kwa nadharia kama hiyo inayohusu utendaji kazi kwingine kwa akili.<ref>J. McFadden (2002) "[http://www.mindcontrolforums.com/news/electromagnetic-field-theory-of-consciousness.htm Synchronous Firing and Its Influence on the Brain's Electromagnetic Field: Evidence for an Electromagnetic Field Theory of Consciousness]". ''Journal of Consciousness Studies'' '''9''' (4) pp. 23-50.</ref><ref name="Buccheri & Di Gesù & Saniga">{{cite book |author=R. Buccheri; V. Di Gesù; Metod Saniga |title=Studies on the Structure of Time: From Physics to Psycho(patho)logy |publisher=Springer |year=2000 |isbn=030646439X}}</ref>
 
Nadharia za akili za kikwontamu hutumia nadharia ya kwontamu katika kuelezea baadhi ya sifa za akili. Kuelezea mchakato wa [[nia huru]] kupitia vifaa vya [[kwontamu|Kikwontamu]] ni mbadala maarufu badala ya uamulizi, kama nadharia hizo ambazo hazijabainishwa huweza kwa njia mbalimbali kuhusisha nia huru na panda-shuka za kikwontamu,<ref name="Bohm & Hiley">{{cite book |author=[[David Bohm]]; Basil J. Hiley |title=The Undivided Universe: An Ontological Interpretation of Quantum Theory |publisher=Routledge |year=1993 |isbn=0415065887}}</ref> kuongezeka kwa kikwontamu,<ref name="Bruce">{{cite book |author=Alexandra Bruce |title=Beyond the Bleep: The Definitive Unauthorized Guide to What the Bleep Do We Know!? |publisher=The Disinformation Company |year=2005 |isbn=1932857222}}</ref> nguvu za kikwontamu<ref name="Bohm & Hiley" /> na uwezekano wa kikwontamu.<ref name="Libet, Freeman, Sutherland">{{cite book |author=Benjamin Libet; Anthony Freeman; Keith Sutherland |title=The Volitional Brain: Towards a Neuroscience of Free Will |publisher=Imprint Academic |year=1999 |isbn=0907845118}}</ref>
 
Ikitegemea hoja ya maelezo ya akili yasiyoweza kuguzika, baadhi ya watu wamependekeza kuwepo kwa fahamu ya kikozmiki, wakidai kwamba fahamu kwa kweli ndio "msingi wa yote kuwepo".<ref name="Walker"/><ref name="Bruce" /><ref name="Ho">{{cite book |author=[[Mae-Wan Ho]] |title=The Rainbow and the Worm: The Physics of Organisms |publisher=World Scientific |year=1998 |pages=218–231 |isbn=9810234279}}</ref> Wanaouunga mkono mtazamo huu wanaelezea kuhusu [matukio yasiyo vya kawaida, haswa uwezo wa kuhisi usio wa kawaida na uwezo wa kuyasoma mawazo kama ushahidi wa kuwepo kwa fahamu ya juu isiyoeleweka. Katika matumaini ya kuthibitisha kuwepo kwa mambo haya yasiyokuwa ya kawaida, wanaelimu nafsia wa mambo yasiyo ya kawaida wamefanya majaribio mbalimbali. Uchambuziwa unaoangalia mambo yote yaliyopo unaonyesha kuwa idadi ya wenye nguvu zisizo za kawaida (ingawa ndogo sana) kwa ulinganishaji imebaki thabiti, hivyo kusababisha takwimu zenye umuhimu kiujumla.<ref name=Radnin97>{{cite book |last=Radin |first=Dean |authorlink = |title=The Conscious Universe: The Scientific Truth of Psychic Phenomena |publisher=HarperSanFrancisco |year=1997 |isbn=0062515020}}</ref><ref name=Dunne>{{cite journal |last=Dunne |first=Brenda |authorlink= |coauthors=Jahn, Robert G. |title=Does psi exist? Replicable evidence for an anomalous process of information transfer |journal=Journal of Scientific Exploration |volume=17 |issue=2 |pages=207–241 |year=2003 |url=http://www.scientificexploration.org/jse/abstracts/v17n2a1.php |accessdate=2007-07-31 |format={{Dead link|date=AprilAprili 2009}} &ndash; <sup>[http://scholar.google.co.uk/scholar?hl=en&lr=&q=author%3ADunne+intitle%3ADoes+psi+exist%3F+Replicable+evidence+for+an+anomalous+process+of+information+transfer&as_publication=Journal+of+Scientific+Exploration&as_ylo=2003&as_yhi=2003&btnG=Search Scholar search]</sup>}}</ref><ref name=Dunne85>{{cite journal |last=Dunne |first=Brenda J. |authorlink= |coauthors=Jahn, Robert G. |title=On the quantum mechanics of consciousness, with application to anomalous phenomena |journal=Foundations of Physics |volume=16 |issue=8 |pages=721–772 |year=1985 |url=http://www.springerlink.com/content/vtrr87tg356154r7/ |doi=10.1007/BF00735378|accessdate=2007-07-31}}</ref> Ingawa baadhi ya wachambuzi wakosoaji wanahisi kuwa somo la kielimunafsia isiyo ya kawaida ni la [[kisayansi]], hawaridhishwi na matokeo ya majaribio yake.<ref name=Alcock03>{{cite journal |last=Alcock |first=James E. |authorlink= |coauthors=Jahn, Robert G. |title=Give the Null Hypothesis a Chance |journal=Journal of Consciousness Studies |volume=10 |issue=6-7 |pages=29–50 |year=2003 |url=http://www.imprint.co.uk/pdf/Alcock-editorial.pdf |format=PDF |accessdate=2007-07-30}}</ref><ref name=Hyman>{{cite journal |last=Hyman |first=Ray |title=Evaluation of the program on anomalous mental phenomena |journal=The Journal of Parapsychology |volume=59 |issue=1 |year=1995 |url=http://findarticles.com/p/articles/mi_m2320/is_n4_v59/ai_18445600 |accessdate=2007-07-30}}</ref>
 
Wanaoyachunguza mambo haya tena upya, wanabaki na wasiwasi kwamba matokeo yanayoonekana kuwa na mafanikio huenda yakawa kutokana na utaratibu mbaya, watafiti wasiokuwa na mafunzo ya kutosha, au mbinu hafifu bali si athari halisi.<ref name=Akers>{{cite paper |author=Akers, C. |title=Methodological Criticisms of Parapsychology, Advances in Parapsychological Research 4 |publisher=PesquisaPSI |year=1986 |url=http://www.pesquisapsi.com/books/advances4/7_Methodological_Criticisms.html
|accessdate=2007-07-30}}</ref><ref>{{cite paper |author=Child, I.L.
|title=Criticism in Experimental Parapsychology, Advances in Parapsychological Research 5 |publisher=PesquisaPSI |year=1987 |url= http://www.pesquisapsi.com/books/advances5/6_Criticism_in_Experimental.html |accessdate=2007-07-30 }}</ref><ref>{{cite journal |last=Wiseman |first=Richard |authorlink= |coauthors=Smith, Matthew, et al. |title=Exploring possible sender-to-experimenter acoustic leakage in the PRL autoganzfeld experiments - Psychophysical Research Laboratories |journal=The Journal of Parapsychology |year=1996 |url=http://findarticles.com/p/articles/mi_m2320/is_n2_v60/ai_18960809 |accessdate=2007-07-30}}</ref><ref>{{cite web |last=Lobach |first=E. |coauthors=Bierman, D. |title=The Invisible Gaze: Three Attempts to Replicate Sheldrake's Staring Effects |work=Proceedings of the 47th PA Convention |url=http://www.parapsych.org/papers/07.pdf |year=2004 |pages=77–90 |format=PDF |accessdate=2007-07-30}}</ref>
 
Mstari 91:
 
==Falsafa za Kale za Kigiriki==
[[File:Sanzio 01 Plato Aristotle.jpg|thumb|160px|right|Plato na Aristotle katika ''Shule ya Atheni'' waliyochorwa ukutani na msanii [[Raffaello]].]]
 
====Uplato====
 
[[Plato]] alikuwa mmoja wa wanafalsafa wa mwanzo, na mwenye ushawishi mwingi hadi wa leo - hasa kwa uhalisia kuhusu kuwepo kwa viulimwengu. Katika Nadharia ya Maumbo, viulimwengu havipo kimwili, lakini kama vyombo, lakini vipo katika maumbo ya kipepo au kimbingu. Katika ''[[Jamhuri ya Plato|Jamhuri]]'', mazungumzo ya mhusika wa [[Socrates]] inaelezea Umbo la Zuri. Wazo la Zuri ni ''ekgonos'' (wazawa) Wa Zuri, jambo la kimaadili, Hali kamili ya uzuri, hivyo basi kipimo cha kiujumla cha haki.
Katika falsafa ya Kiplato, maana ya maisha ni kufikia umbo la juu zaidi la elimu, ambalo ni Wazo (Umbo) ya Zuri, ambapo yote mema na ya haki yanatoa umuhimu na thamani. Binadamu wamefungwa kwa wajibu wa kuyatekeleza mazuri, lakini hakuna yeyote anayeweza kufanikiwa katika harakati hiyo bila fikira za kifalsafa, ambazo zinaruhusu elimu ya kweli.
Line 122 ⟶ 121:
 
====Falsafa ya Uvumilivu====
Falsafa ya Uvumilivu hufunza kwamba kuishi kulingana na fikira mema ni kuwa katika uwiano na mpango wa ulimwengu wa kimungu, unaotokana na mtu kufahamu ''[[logos]]'' (fikira), ya ulimwenguni kote, thamani muhimu inayopatikana kwa wote. Maana ya maisha ni ''uhuru kutoka mateso'' kupitia ''apatheia '' (Gr: απαθεια), yaani kuwa na lengo, kua na "uamuzi wazi" "siyo" kutofautiana. Mashauri ya moja kwa moja ya falsafa ya uvumilivu ni fadhila, fikira na [[sheria ya kiasili]], zinazojumuisha kuendeleza kujidhibiti kwa kibinafsi na ujasiri wa kiakili kama njia za kuzishinda hisia haribifu. Mwenye kuifuata falsafa ya uvumilivu hanuii kuzizima hisia, bali ni kuziepuka shida za kihisia, kwa kuendeleza uamuzi wazi na utulivu wa kindani kupitia uzoefu makini wa kimantiki, kutafakari, na kuziweka fikira mahali pamoja.
 
Msingi wa kimaadili wa falsafa ya uvumilivu ni kuwa "zuri liko katika hali ya nafsi", yenyewe, inaonyeshwa katika [[hekima]] na kujidhibiti, hivyo kuboresha ustawi wa kiroho: "Fadhila" inatokana na "nia" ambayo inawiana na Maumbile."<ref name="Russel" /> Kanuni inatumika katika uhusiano wa kibinafsi, yaani: "kuwa huru kutokana na hasira, na wivu"..<ref name="Russel" />
Line 149 ⟶ 148:
 
====Umaksi====
Kulingana na [[Umaksi]] na [[Ukomiunisti]], maana ya maisha ni kutumikiana, katika amani na kwa uadilifu kama wanadamu sawa na wenye haki.{{Citation needed|date=DecemberDesemba 2009}}
 
====Ubatili wa vyote====
Line 172 ⟶ 171:
 
====Udhanaishi====
 
 
Kila mwanaume na kila mwanamke anaumba kiini (maana) ya maisha yake; maisha hayadhamiriwi na mungu mwenye nguvu zilizozidi za kibinadamu au mamlaka ya kidunia, kila mtu yuko huru. Kwa hivyo, mambo muhimu yanayomuendesha mtu kimaadili ni ''vitendo'', ''uhuru'' na ''uamuzi'', kwa hivyo, [[udhanaishi]] unapinga ufikiriaji na uchanya. Katika kutafuta maana ya maisha, mdhanaishi anatazama ambapo watu hupata maana ya maisha, ambapo katika kutumia fikira tu kama chanzo cha maana ni pungufu; Upungufu huibua hisia za wasiwasi na hofu, zinazohisika katika kukabiliana na [[uhuru]] mkuu, na kuambatana na mwamko kuhusu kifo. Kwa mdhanaishi, kuwepo kunatangulia kiini; (kiini) cha maisha ya mtu huja ''tu'' baada ya mtu kuwa.
 
Line 190 ⟶ 187:
* [[Imani]] ya kidini katika ulimwengu Upitao Fikira: imani ya namna hii huenda ikadokeza kuwepo kwa ulimwengu ambao umezidi ya kukanganya, na, kwa hivyo, una maana. Camus anaita ufumbuzi huu "kujiua kifalsafa" na anaukataa kwa sababu ni sawa na kuangamizwa kwa fikira, ambayo kwa maoni yake ni janga sawa na kujiua kimwili.
 
*Kubali ya kukanganya: Kulingana na Camus, huu tu ndio ufumbuzi wa kweli. Ni kukubali na hata kukumbatia mkanganyo wa maisha na kuendelea kuishi. Ya kunganya ni tabia muhimu ya hali ya kibinadamu, na njia pekee ya kweli ya kukabiliana na hili ni kuyakubali haya kwa ujasiri. Kulingana na Camus, tunaweza "kuishi maisha bora zaidi ikiwa hayana maana."<ref>[http://www.iep.utm.edu/c/camus.htm#SSH5a.i Albert Camus at the Internet Encyclopedia of Philosophy] Accessed MayMei 25th, 2009</ref>
 
====Ubinadamu wa Kidunia====
[[File:HumanismSymbol.PNG|120px|left|thumb| Picha ya "binadamu mwenye furaha" ishara ya Utu wa Kidunia.]]
 
Kulingana na Ubinadamu wa kidunia, wanadamu walitokana na kuzaana katika maendeleo ya mabadiliko ambayo hayakuongozwa kama sehemu muhimu ya maumbile, ambayo huishi yenyewe.<ref name=humanifesto1>{{cite web |title=[[Humanist Manifesto I]]] [http://www.americanhumanist.org/about/manifesto1.html url=http://www.americanhumanist.org/about/manifesto1.html |work=American Humanist Association |year=1933 |accessdate=2007-07-26}}</ref><ref name=humanifesto2>{{cite web |title=[[Humanist Manifesto II]]] [http://www.americanhumanist.org/about/manifesto2.html work=American Humanist Association |year=1973 |url=http://www.americanhumanist.org/about/manifesto2.html |accessdate=2007-08-01}}</ref> Maarifa hayatoki kutoka vyanzo vyenye nguvu visivyo vya kawaida, lakini kutoka uchunguzi wa binadamu, majaribio, na uchambuzi wa kimantiki([[mbinu ya kisayansi]]): asili ya [[ulimwengu]] ni kile ambacho watu huitambua kuwa.<ref name=humanifesto1 /> Aidha, "[[maadili]] na ukweli" yanadhamiriwa "kwa njia ya uchunguzi wa kiakili"<ref name=humanifesto1 /> na "yanatokana na mahitaji ya binadamu na hamu kama ilivyopimwa na uzoefu", yaani kupitia akili yenye uchambuzi.<ref name=humanifesto3>{{cite web |title=[[Humanist Manifesto III]]] [http://www.americanhumanist.org/3/HumandItsAspirations.php work=American Humanist Association |year=2003 |url=http://www.americanhumanist.org/3/HumandItsAspirations.php |accessdate=2007-08-01}}</ref><ref name=CDSH>{{cite web |title=[[A Secular Humanist Declaration]]] [http://www.secularhumanism.org/index.php?section=main&page=declaration work=Council for Democratic and Secular Humanism (now the Council for Secular Humanism) |year=1980 |url=http://www.secularhumanism.org/index.php?section=main&page=declaration |accessdate=2007-08-01}}</ref> "Kulingana na yale tunayojua, tabia za mtu kiujumla ni [chanzo] cha kiumbe cha kibiolojia kinachoendesha shughuli zake katika muktadha wa kijamii na kiutamaduni."<ref name=humanifesto2 />
 
Watu huamua kusudi la binadamu, bila ya ushawishi wa kiMungu; ni tabia ya binadamu, (hisia ya kijumla) ambayo ni lengo ya maisha ya binadamu; Utu unataka kuendeleza na kutimiza:<ref name=humanifesto1 /> "Utu husisitiza uwezo wetu, na uwajibikaji wetu, kuishi maisha ya kimaadili yenye utimilifu wa binafsi yanayolenga mema makuu ya ubinadamu ".<ref name=humanifesto3 /> Wanautu huendeleza kufunguliwa kifikra ili kuyashughulikia maslahi ya kibinafsi na yenye manufaa kwa watu wote. Furaha ya mtu binafsi ni inahusishwa kwa njia isiyoweza kubadilishwa na ustawi wa binadamu, kwa uzima, kwa sehemu, kwa sababu sisi ni wanyama wanaolazimika kuishi katika jamii, ambayo hupata maana kutokana na uhusiano wa karibu, na kwa sababu maendeleo ya kitamaduni humnufaisha kila mtu katika [[utamaduni]].<ref name=humanifesto2 /><ref name=humanifesto3 />
 
Falsafa ndogo za utu wa baadaye na utu unaopita yote (ambazo wakati mwingine hutumiwa kimbadala) ni panuzi wa maadili ya kiutu. Mtu anapaswa kutafuta maendeleo ya ubinadamu na ya maisha yote] kwa kiasi kikubwa kiwezekanavyo ili kupatanisha Utu wa Kirainasansi na utamaduni wa karne ya ishirini wa kisayasansi na kiteknolojia, hivyo, kila kiumbe hai ana haki ya kuamua "maana ya maisha kibinafsi" kwa mtazamo wa kijamii na kibinafsi.<ref>{{cite web| author=[[Nick Bostrom]] |title=Transhumanist Values |work=[[Oxford University]] |year=2005 |url=http://www.nickbostrom.com/ethics/values.html |accessdate=2007-07-28}}</ref>
Kutoka mtazamo wa kiutu na kielimunafsia ya kupunguza maumivu, suala la maana ya maisha pia linaweza kutafsiriwa tena kama "Ni nini maana ya maisha "yangu"?"<ref>Irvin Yalom, ''Existential Psychotherapy'', 1980</ref>
 
Badala ya kujifunga na swali la kidini au la kikozmiki kuhusu madhumuni makuu, mbinu hii inapendekeza kwamba swali hili ni la kibinafsi sana. Kuna majibu mengi ya kimatibabu ya kupunguza maumivu kwa swali hili, kwa mfano Viktor Frankl anadokeza kuwa dhana ya "Kutowaza", ambayo kwa kiasi kikubwa hutafsiriwa kama kukoma kutafakari bila mwisho juu ya ubinafsi, badala ya kujishughulisha na maisha. Kwa ujumla, mwitikio wa matibabu ya kuyapunguza maumivu ni kwamba swali la maana ya maisha huvukiza ikiwa mtu anajishughulisha kikamilifu na maisha. Swali kisha linabadilika kuwa wasiwasi maalum zaidi kama vile "Ni upotovu upi unaonisumbua?", "Ni nini kinachozuia uwezo wangu kufurahia vitu?", "Mbona mimi huwasahau wapendwa wangu?". Angalia pia Matibabu ya Kupunguza Maumivu ya Kidhanaishi, Irvin Yalom.
 
====Uchanya wa kimantiki====
Wachanya wa kimantiki huuliza: ''Ni nini maana ya maisha?'' na ''mbona kuuliza?''<ref>{{cite book |author=[[Richard Taylor (philosopher)|Richard Taylor]] |title=Good and Evil |pages="The Meaning of Life" (Chapter 5) |publisher=Macmillan Publishing Company |month=JanuaryJanuari | year=1970 |isbn=0026166909}}</ref><ref>Wohlgennant, Rudolph. (1981). "Has the Question about the Meaning of Life any Meaning?" (Chapter 4). In E. Morscher, ed., ''Philosophie als Wissenschaft''.</ref> ''Kama hakuna maadili yanayolengwa, basi, hivyo ni kusema maisha hayana maana?''<ref>{{cite book |last=McNaughton |first=David |month=AugustAgosti | year=1988 |title=Moral Vision: An Introduction to Ethics |pages="Moral Freedom and the Meaning of Life" (Section 1.5) |publisher=Oxford: Blackwell Publishing |isbn=0631159452}}</ref> Ludwig Wittgenstein na wachanya wa kimantiki walisema:{{Citation needed|date=DecemberDesemba 2009}} "Linapoulizwa kilugha, swali ni la ubatili"; kwa sababu, maishani taarifa ya "maana ya x", kawaida inaashiria madhara ya x, au umuhimu wa x, au kile ambacho ni dhahiri kuhusu x na kadhalika, kwa hivyo, wakati dhana ya maana ni sawa na "x", katika taarifa ya "maana ya x", taarifa inakuwa ya kujirudia, na kwa hivyo, ya kiupuzi, au inaweza kutaja kama ukweli kwamba maisha ya kibaiolojia ni muhimu ili kuwa na maana maishani.
 
Mambo (watu, matukio) katika maisha ya mtu yanaweza kuwa na maana (umuhimu) kama sehemu ya uzima, lakini maana isiyobainika wazi ya maisha (hayo), yenyewe, mbali na mambo hayo, haiwezi kubainika. Maisha ya mtu yana maana (kwake mwenyewe, wengine) kama matukio ya maisha yanayotokana na mafanikio yake, urithi, familia, na kadhalika, lakini, kusema kwamba maisha, yenyewe, yana maana, ni matumizi mabaya ya lugha, kwani yoyote ya umuhimu, au ya mwisho, ni muhimu tu "katika" maisha (kwa walio hai), hivyo basi kuifanya taarifa iwe ya kimakosa. [[Bertrand Russell]] aliandika kwamba ingawa alipata kwamba chuki yake ya mateso haikuwa kama chuki yake ya mboga ya brokoli, hakupata utaratibu wowote wa kuridhisha, na wa kupimika wa kuthibitisha hili:<ref name="Russel"/>
Line 212 ⟶ 209:
 
====Baada ya usasa====
Falsafa ya baada ya usasa- tukizungumza kwa upana- zinaona hali ya binadamu ikiwa kama iliyojengwa na lugha, au na miundo na taasisi za jamii ya kibinadamu. Ikitofautiana na aina nyingine za falsafa, ni nadra kwa falsafa ya baada ya usasa kutafutamaana zinazopatikana kabla ya tendo au zilizojikita kwa undani katika kuwepo kwa binadamu, lakini badala yake inalenga kuchunguza au kukosoa maana zilizopewa ili kuzitafakari au kuzirekebisha upya. Chochote kinachofanana 'maana ya maisha', katika maana ya falsafa ya baada ya usasa, linaweza kueleweka tu ndani ya muundo wa kijamii na kilugha, na lazima ufuatwe kama kimbilio kutoka miundo ya nguvu ambayo tayari imejikita katika aina zote za hotuba na mwingiliano.
 
Kama kanuni, wanafalsafa wa baada ya usasa wanatazama mwamko wa vikwazo vya lugha kama muhimu kuvikwepa vikwazo vivyo hivyo, lakini wananadharia tofauti wana maoni mbalimbali kuhusu asili ya mchakato huu: kutoka ujenzi wa kidharura wa maana na watu binafsi (kama katika falsafa ya kuharibu yaliyojengwa) hadi kwa nadharia ambamo watu ni upanuzi wa kimsingi wa lugha na jamii, bila uhuru halisi (kama katika falsafa ya baada ya muundo). Kiujumla, falsafa ya baada ya usasa inatafuta maana kupitia kuangalia miundo ya msingi ambayo inaunda au kulazimisha maana, kuliko yale yanayoonekana kiepifomenali Duniani.
Line 218 ⟶ 215:
====Dhana ya kihisia====
Kulingana na dhana ya kihisia, maana kuu ya maisha ni kupata kutosheleza hisia za kibinadamu. Wafuasi wa falsafa hii wanaamini kuwa vitendo vyote maishani ni matokeo ya hisia na hasa mahitaji ya kuzaa. Uhisia unaonyesha jinsi kuwepo kwa mtu binafsi huwa chanzo cha kuzaa unamfanya binadamu kutafuta lengo la kuzaa maishani kwa kuufuata mzunguko. Uharaka unasisitiza kuwa watu wanapofikiria kwa kina, watapata kuwa lengo kuu la matendo yote ni wafanyayo ni kuvutia watu wa jinsia nyingine. Dhana kuu ya uhisia inaweza kufuatwa hivi:
 
<blockquote> Kama inayokubalika kuwa watu hufunzwa kujifunza shuleni. Mbona tusome kwa bidii? Ili tufuzu mitihani. Mbona tufuzu mitihani? Ili tuweze kuenda chuo kikuu? Mbona tuweze kuenda chuo kikuu? Ili tuweze kupata kazi nzuri? Mbona tupate kazi nzuri? Ili tuwe na mali. Mbona tuwe na mali? Ili tununue magari mazuri; ili tununue nyumba nzuri; ili tununue bidhaa nzuri. Mbona vitu vyote vizuri kumfanya mtu aonekana mzuri? Mwishowe kuvutia watu wa jinsia nyingine, kutosheleza mahitaji msingi ya kuzaa na kuendeleza familia ya kibinadamu. </blockquote>
 
Line 255 ⟶ 252:
Ingawa [[Ukristo]] una mizizi yake katika Uyahudi, na unafanana sana na [[ontolojia]] ya Uyahudi, imani kuu ya Ukristo inatokana na mafundisho ya [[Yesu Kristo]] yaliyotolewa katika [[Agano Jipya]]. Kusudi la maisha kwa Mkristo ni kutafuta [[wokovu]] wa Kimungu kupitia [[neema]] ya Mungu iliyoletwa na [[Yesu]] ([[Injili ya Yohana]] 11:26).
 
Agano Jipya linaongea kumhusu Mungu kutaka kuwa na uhusiano na binadamu wote katika maisha haya na maisha yajao, jambo ambalo linaweza kufanyika tu kama [[dhambi]] za mtu zimesamehewa ([[Yoh]] 3:16-21), ([[2 Pet]] 3:9).
 
Katika mtazamo wa Kikristo, watu waliumbwa kikamilifu kwa mfano wa Mungu, lakini kuanguka kwao ([[dhambi ya asili]]) kulisababisha wanaozaliwa kuirithi dhambi hiyo.
 
Dhabihu ya Kristo ya upendo, kifo na ufufuko hutoa njia ya kuishinda hali hiyo chafu ([[Rum]] 6:23).
 
Njia ya kufanya hivyo inatofautiana kati ya [[madhehebu]] mbalimbali ya Wakristo, lakini yote yanategemea imani katika Yesu, kazi yake msalabani na kufufuka kwake kama msingi wa kuanza uhusiano mpya na Mungu. Chini ya mtazamo wa Ukristo, watu wanafanywa waadilifu kupitia imani katika [[kafara]] ya Yesu kufa msalabani.
 
[[Injili]] inahimiza kwamba kupitia imani hii, kizuizi ambacho dhambi imeunda kati ya mtu na Mungu kinaondolewa, kumruhusu Mungu kuwabadili watu na kuweka ndani yao moyo mpya unaotii mapenzi yake, na uwezo wa kutii hivyo.
 
Hii ndiyo maana inayoashiriwa na maneno 'kuzaliwa upya' au 'kuokolewa'.
 
Jambo hili linatofautisha sana Ukristo na dini nyingine ambazo zinadai kwamba waumini ni waadilifu kwake Mungu kwa kushikamana na mwongozo au sheria tuliyopewa na Mungu.
 
Katika Mafunzo Mafupi ya Kiinjili ya Westminster, swali la kwanza ni: "Ni nini kikomo cha binadamu?" yaani, "Ni nini lengo kuu la binadamu?". Jibu ni: "Lengo kuu la binadamu ni kumtukuza Mungu na kufurahi naye milele. Mungu anahitaji mtu kutii sheria ya maadili aliyomwonyesha akisema: tumpende Bwana Mungu wetu kwa moyo wetu wote, kwa roho yetu yote, kwa nguvu zetu zote, na kwa akili zetu zote; na majirani wetu kama sisi wenyewe".<ref>{{cite web |title=The Westminster Shorter Catechism |url=http://www.creeds.net/reformed/Westminster/shorter_catechism.html |accessdate=2008-03-21}}</ref>
 
Mafunzo ya Injili ya Baltimore yanajibu swali, "Kwa nini Mungu amekuumba?" yakisema "Mungu ameniumba ili nimjue, nimpende na kumtumikia katika dunia hii, na kuwa na furaha pamoja naye milele mbinguni."<ref>{{cite web |title=The Baltimore Catechism |url=http://www.sacred-texts.com/chr/balt/balt1.htm |accessdate=2008-06-12}}</ref>
 
Mtume Paulo pia analijibu swali hili katika hotuba yake ya Areopagus mjini Atheni: "Kutokana na mtu mmoja alifanya kila taifa la wanadamu, kwamba wanapaswa kuishi duniani kote; na akapima nyakati haswa zilizowekwa kwao na mahali ambapo wanapaswa kuishi. Mungu alifanya hivyo ili binadamu amtafute na labda kuuonyosha mkono nje kwa ajili yake na kumpata, ingawa hayupo mbali kutoka kila mmoja wetu. ([[Mdo]] 17:26-27)<ref>[[Bible]], [[Acts]] 17:26-27, [[NKJV]]</ref>
 
====Uislamu====
Katika [[Uislamu]], lengo kuu la maisha ya binadamu ni kumtumikia [[Allah]] (kwa Kiarabu sawa na "Mungu") na kukaa na miongozo ya Kimungu iliyofafanuliwa katika [[Qur'an]] na Mapokeo ya Mtume. Maisha ya kidunia ni mtihani tu, kuamua maisha ya mtu baadaa kifo, katika Jannat (Mbinguni) au katika Jahannum (Kuzimu).
 
Kwa ajili ya radhi ya Mwenyezi Mungu, kupitia Qur'ani, lazima Waislamu wote waamini katika Mungu, ufunuo wake, malaika wake, wajumbe wake, na katika "Siku ya Kiyama".<ref>{{cite quran|2|4|style=ref}}, {{cite quran|2|285|style=ref}}, {{cite quran|4|136|style=ref}}</ref> Qur'an inaelezea madhumuni ya uumbaji kama ifuatavyo: "Heri yeye ambaye mkononi mwake ana ufalme, yeye ana nguvu juu ya kila kitu, ambaye aliumba mauti na uhai ili apate kuchunguza nani kati yenu ndiye bora katika matendo, na yeye ni mwenyezi, Mwenye kusamehe "(Qur'an67 :1-2) na" 'Mimi tu niliumba malaika na binadamu kuniabudu Mimi "(Qur'an 51:56). Ibada inashuhudia kuwepo kwa umoja wa Mungu katika uongozi wake, majina yake, na sifa yake. maisha ya Duniani ni mtihani; jinsi mtu anavyotenda huamua kama nafsi ya mtu inakwenda Jannat (Mbinguni) au Jahannam (Motoni).
Line 284 ⟶ 281:
Imani ni tofauti kati ya Kalam. Dhana ya Kisunni ya mwisho wa safari iliyoamuliwa awali ni amri ya kimungu;<ref>{{Muslim|1|1}}</ref> aidha, dhana ya Kishi'a ya nafsi kuwa na mahali pa kwenda kabla ya kifo ni haki ya kimungu; katika mtazamo wa Kisufi unaoeleweka na wachache Ulimwengu upo tu kwa radhi ya Mungu; Uumbaji ni mchezo mkubwa, ambapo Mwenyezi Mungu ndiye tuzo kuu.<ref name="Yusuf Ali">{{cite book |author=[[Abdullah Yusuf Ali]] |title=[[Qur'an|The Holy Qur'an]] |publisher=Wordsworth Editions |year=2000 |isbn=1853267821}}</ref><ref name="Yusuf Ali" />
 
====Imani ya Kibahá'í====
Imani ya Kibahá'í inasisitiza umoja wa ubinadamu.<ref>{{Citation | year = 2007 | title = "Bahaism." The American Heritage Dictionary of the English Language | volume = Fourth Edition | publisher = Houghton Mifflin Company | url = http://dictionary.reference.com/browse/bahaism}}</ref> Kwa Wabahá'í, madhumuni ya maisha yanalenga kukua kiroho na huduma kwa ubinadamu. Binadamu wanatazamwa kama viumbe wa kiroho kwa undani. Maisha ya watu katika dunia hii tunayoishi hutoa fursa zilizopanuliwa za kukua, kukuza sifa na fadhila za kimungu, na manabii walitumwa na Mungu kuwezesha hili.<ref>{{cite book |last = Smith |first = P. |year = 1999 |title = A Concise Encyclopedia of the Bahá'í Faith |publisher = Oneworld Publications |location = Oxford, UK |pages = 325–328|isbn = 1851681841 }}</ref><ref>For a more detailed Bahá'í perspective, see {{Citation | title = "The Purpose of Life" Bahá'í Topics An Information Resource of the Bahá'í International Community| url = http://info.bahai.org/article-1-4-0-6.html}}</ref>
 
===Dini za Asia ya Kusini===
====Falsafa za Kihindu====
[[File:Golden Aum.png|left|thumb|110px|Aum ya kidhahabu iliyoandikwa katika Devanagari. Aum ni takatifu katika [[dini]] za [[Uhindu]], Ujaini na [[Ubuddha]].]]
Line 297 ⟶ 294:
Katika shule zote za Uhindu, maana ya maisha imefungwa ndani ya dhana za karma (kitendo chenye matokeo), samsara (mzunguko wa kuzaliwa na kuzaliwa upya), na moksha (ukombozi). Kuwepo kunaaminika kuwa maendeleo ya atman (sawa na dhana ya magharibi ya nafsi) kupitia vipindi vingi vya maisha , na maendeleo yake ya mwisho kuelekea ukombozi kutoka karma. Malengo hasa ya maisha kwa ujumla husongeshwa chini ya (mazoea) pana ya yoga au dharma (kuishi kisahihi) ambayo yanakusudiwa kujenga kuzaliwa upya kuzuri zaidi, ingawa hayo pia kwa ujumla ni matendo chanya katika maisha haya pia. Shule za jadi za Uhindu mara nyingi huabudu Madeva ambao ni dhihirisho ya Ishvara (Mungu wa kibinafsi au wa kuchaguliwa); Madeva hawa huchukuliwa kama aina zifaazo ili zitambuliwa kama aina ya kuboreka kiroho.
 
=====Uhindu wa Advaita na Dvaita=====
Shule za baadaye zilizitafsiri upya veda kuzingatia Brahman, "Yule Bila Wa Pili",<ref name=bhaskaranandaessential>{{Harvard reference | last=Bhaskarananda | first=Swami | year=1994 | title=The Essentials of Hinduism: a comprehensive overview of the world's oldest religion | place=Seattle, WA | publisher=Viveka Press | isbn=1-884852-02-5}}</ref> kama kielelezo muhimu kinachomfanana Mungu.
 
Shule za baadaye zilizitafsiri upya veda kuzingatia Brahman, "Yule Bila Wa Pili",<ref name=bhaskaranandaessential>{{Harvard reference | last=Bhaskarananda | first=Swami | year=1994 | title=The Essentials of Hinduism: a comprehensive overview of the world's oldest religion | place=Seattle, WA | publisher=Viveka Press | isbn=1-884852-02-5}}</ref> kama kielelezo muhimu kinachomfanana Mungu.
 
Katika Advaita Vedanta ya kimoni, atman hatimaye hatofautishwi na brahman, na lengo la maisha ni kujua au kutambua kwamba (nafsi) ya mtu ya atman inafanana na Brahman.<ref>{{Harvard reference | last= Vivekananda | first=Swami | authorlink=Swami Vivekananda | year=1987 | title=Complete Works of Swami Vivekananda | place=Calcutta | publisher= Advaita Ashrama | isbn=81-85301-75-1}}</ref>
Kwa Maupanishadi, yeyote anayefahamu kikamilifu atman, kama msingi wa ubinafsi, anajitambua na Brahman, na hivyo, anapata Mokasha (ukombozi, uhuru).<ref name="monierwilliams"/><ref name="werner">{{Harvard reference | last= Werner | first=Karel | year=1994 | title=A Popular Dictionary of Hinduism | place=Richmond, Surrey | editor = Hinnells, John (Ed.) | publisher= Curzon Press | chapter= Hinduism | isbn=0-7007-0279-2}}</ref><ref>See also the Vedic statement "ayam ātmā brahma" (This [[Ātman (Hinduism)|Atman]] is [[Brahman]])</ref>
 
Dvaita Vedanta yenye pande mbili na shule zingine za bhakti zina tafsiri yenye pande mbili. Brahaman anaonekana kama kiumbe kikuu chenye tabia na sifa wazi. Atman inategemea Brahman kwa kuwepo kwake; maana ya maisha ni kupata Moksha kupitia upendo wa Mungu na neema yake.<ref name="werner" />
Line 309 ⟶ 305:
Tawi lingine la Uhindu ni Uvaishnavi , ambapo Vishnu ndiye Mungu mkuu. Si shule zote za Uvaishnavi ambazo hufunza maana ya maisha, lakini Gaudiya Vaishnavism, kwa mfano, hufunza Achintya Bheda Abheda inayomaanisha Kumuabudu Mungu tofauti na Mungu mmoja wa kweli na wakati uo huo ikitambua umoja muhimu wa nafsi zote.
 
Si shule zote za Uvaishnavi ambazo hufunza maana ya maisha, lakini Uvaishnavi wa Kigaudiya unafunza, kwa mfano, Achintya Bheda Abheda kumaanisha kuabudu Mungu tofauti na mmoja wa kweli aitwaye Krsna huku vimube vyote hai ni sehemu za kimilele za Mungu mkuu aitwaye Krsna. Mtazamo wa kikatiba wa kimbe hai ni kumtumikia Mungu na upendo na kujali. Huduma bila malipo isiyositishwa na isiyosukumwa na chochote kwa Krsna na wafuasi wake ndiyo maana ya maisha katika hali uhuru. Sisi tupo katika Dunia ya kinafsi tukimtumikia Krsna kwa furaha huku tukifahamu vyema kuwa sisi ni roho za kinafsi na tunayo maisha ya milele. Kwa sababu ya kumchukia Krsna na kwa sababu ya mapenzi yetu ya kutaka kuwa na anasa m,bali na Krsnatupo katika Dunia hii ambapo tunapitia mzunguko unaojirudiarudia wa kuzaliwa, magonjwa, uzee na kifo katika miili tuliyopata ya spishi 8.4 za kimaisha, tukihama kutoka mwili mmoja hadi mwingine kulingana na karma yetu na mapenzi yetu.
 
Lengo la maisha ya binadamu haswa ni kufikiria zaidi ya njia ya kinyama ya kula, kulala, kufanya mapenzi na kulinda na kufuata akili ya juu zaidi ili kuanzisha upya uhusiano na Krsna, Baba yetu wa milele, ambaye kutoka kwake vyote vilitoka, ambaye ndiye mwezeshaji na mwenye kuangamiza. Maandiko yaliyoonyehswa kwetu kama vile Bhagavad-Gita na Srimad Bhagavatam yanafunza kuwa Sambandha (Mimi ni nani? Mungu ni nani? Uhusiano kati ya Mungu na mimi ni upi?) na Abhideya (mchakato wa kuanzisha uhusiano ulipotea na Mungu kupitia michakato 9 ya Bhakti - Huduma ya Maombi) na Prayojana - matokeo - kupata upendo wa Mungu. Mchakato rahisi zaidi ni kuimba maha Bhakti "Hare Krsna Hare Krsna KRsna Krsna Hare Hare - Hare Rama Hare Rama Rama Rama Hare Hare" pamoja na wafuasi wa Mungu. Huku maana ya maisha yakiwa kuanzisha upya uhusiano ulioisha na Mungu anayewapenda watu wote, lengo la uumbaji ni kutumia rasilimali kurudi nyumbani kwa Mungu, Dunia ya milele ya kinafsi inayoitwa Goloka Vrindavana - milki ya Mungu.
Line 318 ⟶ 314:
Ujaini ni dini iliyoanza katika Uhindi ya kale, mfumo wake wa kimaadili unakuza nidhamu ya kibinafsi kushinda yote mengine. Kupitia kuyafuata mafundisho ya kujiepusha na anasa zote, ya ujaini, binadamu anapata kutaalamika (maarifa kamili). Ujaini unaugawanya ulimwengu katika viumbe vilivyohai na visivyohai. Wakati tu visivyohai vinavyoshikilia vyenye uhai ndipo mateso hutokea. Kwa hivyo, furaha ni matokeo ya utekaji-kibinafsi na uhuru kutoka kwa vitu vya nje. Maana ya maisha basi huweza kusemwa kuwa kutumia mwili unaoonekana kupata utambuzi wa kibinafsi na neema..<ref>Shah, Natubhai. ''Jainism: The World of Conquerors.'' Sussex Academic Press, 1998.</ref>
 
Wajaini huamini kwamba kila binadamu anawajibika kwa matendo yake na viumbe wote hai wana roho ya milele, jīva. Wajaini wanaamini nafsi zote ni sawa kwa sababu zote zinamiliki uwezekano wa kufanywa ziwe huru na kufikia Moksha. Mtazamo wa Kijanini wa karma ni kwamba kila hatua, kila neno, kila wazo linazalisha, mbali na yanayoonekana, matokeo yasiyoonekana, na yanayopita fikira kwa nafsi.
 
Ujaini unajumuisha kushikilia vikali ahimsa (au ''ahinsā''), mbinu ya aina ya Kusitisha Vurugu ambayo huzidi kwa mbali ulaji mboga. Wajaini wanakikataa chakula kilichopatikana kwa ukatili usiohitajika. Wengi wana mazoezi ya maisha sawa na ulaji mboga pekee kutokana na vurugu ya mashamba ya maziwa ya kisasa, na wengine huepukana na mboga za mizizi katika maakuli yao ili kulinda maisha ya mimea ambayo wao hula.<ref>{{cite web |url=http://www.retoday.org.uk/pdfs/dre/viren.pdf |title=Viren, Jain |accessdate=2007-06-14 |publisher=[http://www.retoday.org.uk/ RE Today] |format=PDF}}</ref>
 
====Ubudha====
=====Ubudha wa Mapema=====
Ubudha ni mafundisho yasiyo na pande mbili, ambapo kichwa, chombo, na hatua yote ni huonekana yakiwa si ya kweli.
Wabudha wanaamini kwamba maisha kwa undani yamejaa mateso au kuchanganyikiwa. Hilo si kumaanisha kwamba hakuna raha maishani, lakini kwamba raha hii haisababishi furaha ya milele. Mateso yanasababishwa na kuvishikilia vitu vinavyonekana na kuguzika au visivyoonekana na visivyokuguzika ambavyo mwishowe husababisha mtu kuzaliwa tena na tena katika mzunguko wa kuwepo. Sutra na tantra za Kibudha haziongei kuhusu "maana ya maisha" au "madhumuni ya maisha", bali huzungumzia kuhusu uwezo wa maisha ya binadamu wa kukomesha mateso kupitia kujiepusha na tamaa na kushikilia dhana fulani. Mateso yanaweza kushindwa kupitia shughuli za binadamu, tu kwa kuondoa sababu ya mateso. Kufikia na kutimiza kutopenda raha ni mchakato wa ngazi nyingi ambazo hatimaye matokeo yake ni hali ya Nirvana. Nirvana inamaanisha uhuru kutoka mateso na kuzaliwa upya.<ref>{{cite web|url=http://www.thebigview.com/buddhism/fourtruths.html |title=The Four Noble Truths |publisher=Thebigview.com |date= |accessdate=2009-11-06}}</ref>
Line 331 ⟶ 327:
 
=====Ubudha wa Kimahayana=====
Shule za Ubudha wa Kimahayana zinasita kusisitiza mtazamo wa jadi (ambao bado unatekelezwa katika Kitheravada) wa kuachiliwa kutoka Mateso (Dukkha) ta kibinafsi na kufikia Mwamko (Nirvana). Katika Mahayana, Budha huonekana kama kiumbe wa milele, asiyebadilika, asiyeeleweka, na ambaye yupo kila mahali. Misingi mikuu ya mafundisho ya Kimahayana imejikita katika uwezekano wa ukombozi kutoka mateso wa viumbe vyote, na kuwepo kwa Budha-asili apitaye fikira , ambaye ni kiini cha Budha wa milele aliopo, lakini aliyejificha na asiyetambulika, katika viumbe wote.{{Citation needed|date=SeptemberSeptemba 2009}}
 
Shule za kifalsafa za Ubudha wa Kimahayana, kama vile Chan / Zen na shule za Utibeti wa vajrayana na Shingon, hufunza wazi kwamba boddhisattva lazima wajiepushe na ukombozi kamili, wajiruhusu wenyewe kuzaliwa tena ulimwenguni hadi viumbe wote wapate kutaalamika. Shule za kiibada kama vile Ubhuda wa Ardhi Takatifu hutafuta msaada wa mabudha wa mbinguni - watu binafsi ambao wametumia maisha yao yote{{Citation needed|date=SeptemberSeptemba 2009}} wakikusanya karma chanya, na kuutumia mkusanyiko huo kuwasaidia wote.
Shule za Ubudha wa Kimahayana zinasita kusisitiza mtazamo wa jadi (ambao bado unatekelezwa katika Kitheravada) wa kuachiliwa kutoka Mateso (Dukkha) ta kibinafsi na kufikia Mwamko (Nirvana). Katika Mahayana, Budha huonekana kama kiumbe wa milele, asiyebadilika, asiyeeleweka, na ambaye yupo kila mahali. Misingi mikuu ya mafundisho ya Kimahayana imejikita katika uwezekano wa ukombozi kutoka mateso wa viumbe vyote, na kuwepo kwa Budha-asili apitaye fikira , ambaye ni kiini cha Budha wa milele aliopo, lakini aliyejificha na asiyetambulika, katika viumbe wote.{{Citation needed|date=September 2009}}
 
Shule za kifalsafa za Ubudha wa Kimahayana, kama vile Chan / Zen na shule za Utibeti wa vajrayana na Shingon, hufunza wazi kwamba boddhisattva lazima wajiepushe na ukombozi kamili, wajiruhusu wenyewe kuzaliwa tena ulimwenguni hadi viumbe wote wapate kutaalamika. Shule za kiibada kama vile Ubhuda wa Ardhi Takatifu hutafuta msaada wa mabudha wa mbinguni - watu binafsi ambao wametumia maisha yao yote{{Citation needed|date=September 2009}} wakikusanya karma chanya, na kuutumia mkusanyiko huo kuwasaidia wote.
 
====Kalasinga====
Line 356 ⟶ 351:
[[File:Yin yang.svg|right|thumb|100px|''Taijitu'' ni ishara ya umoja wa vinyume vya yin na yang.]]
 
Kosmojenia ya Watao inasisitiza haja ya viumbe wote wenye fahamu na watu wote kurudi kwa mwanzo au kuungana na Umoja wa Ulimwengu kupitia njia ya kujikuza na kujitambua. Wahumini wote wanapaswa kuelewa na kuwiana na mwisho wa kikweli.
 
Wanaamini yote awali yalikuwa kutoka Taiji na Tao, na maana maishani kwa wahumini ni wao kugundua hali ya muda mfupi ya kuwepo. "Kujiangalia tu kindani ndio kunaoweza basi kutusaidia kupata sababu zetu za undani kabisa za kuishi...jibu rahisi limo humu ndani yetu."<ref name="Ming-Dao">{{cite book |author=Ming-Dao Deng |title=Scholar Warrior: An Introduction to the Tao in Everyday Life |publisher=HarperCollins |year=1990}}</ref>
 
====Ukonfiuso====
 
[[Ukonfiuso]] unatambua hali ya kibinadamu kulingana na mahitaji ya nidhamu na [[elimu]]. Kwa sababu binadamu anaendeshewa na ushawishi mzuri na mbaya, Wakonfiuso huona lengo katika kupata tabia nzuri kupitia uhusiano wa nguvu na kufikiria na pia kukanusha nishati hasi. Msisitizo huu wa maisha ya kawaida unaonekana katika msemo wa mwanachuoni wa Kikonfiuso Tu Wei-Ming, "tunaweza kutambua maana kuu ya maisha katika kuwepo kwa kawaida kwa binadamu."<ref>Tu, Wei-Ming. ''Confucian Thought: Selfhood as Creative Transformation.'' Albany: State University of New York Press, 1985.</ref>
 
====Dini mpya====
Kuna harakati nyingi mpya za kidini katika Asia ya Mashariki, baadhi yao zikiwa na mamilioni ya wafuasi: Chondogyo, Tenrikyo, Cao Đài, na Seicho-No-ie. Dini mpya kawaida zina maelezo ya kipekee kuhusu maana ya maisha. Kwa mfano, katika Tenrikyo, mtu anatarajiwa kuishi Maisha ya Furaha kwa kushiriki katika mazoea yanayokuza furaha yake binafsi na pia ya watu wengine.
 
==Katika utamaduni maarufu==
Line 372 ⟶ 366:
[[File:Allisvanity.jpg|thumb|120px|''Yote ni bure'' ni picha ya Charles Allan Gilbert na ni mfano wa ''vanitas''. Inaonyesha mwanamke akitazama uso wake katika kioo, lakini vyote vimepangwa ili kuifanya picha ya kifuvu kuonekana.]]
 
Katika mfululizo maarufu wa vitabu vya kuchekesha vya Douglas Adams kwa jina "The Hitchhiker's Guide to the Galaxy", Jibu la Swali Kuu la Maisha, Ulimwengu, na Yote lina ufumbuzi wa kinambari wa 42, ambayo Ilipatikana baada ya muda wa zaidi ya miaka milioni saba na nusu kupitia tarakilishi yenye nguvu kubwa kwa jina "Deep Thought". Baada ya kunganyika kwingi kutoka wazao wa waumbaji wake, "Deep Thought" anaelezea kuwa tatizo ni kuwa hawajui Swali Kuu, na ingewabidi kujenga kompyuta yenye nguvu zaidi ili kulibainisha. Kompyuta inaonyeshwa kuwa [[Dunia]], ambayo, baada ya kuhesabu kwa miaka milioni, inaharibiwa ili kuunda Barabara ya Kiulimwengu dakika tano kabla ya kukamilisha kufanya hesabu.<ref name="Yeffeth"/><ref name="Baggini" /><ref name="Badke"/><ref name="Adams H2G2 book1">{{cite book|title=[[The Hitchhiker's Guide to the Galaxy (book)|The Hitchhiker's Guide to the Galaxy]]|author=[[Douglas Adams]]|published=1979|isbn=0-330-25864-8|year=1979|publisher=Pan Books|location=London}}</ref> Katika Maisha, Ulimwengu na Kila kitu, inathibitishwa kwa kweli kuwa 42 ndilo Jibu Kuu, na kwamba haiwezekani kwa Jibu Kuu na Swali Kuu kujulikana katika ulimwengu mmoja, kwani zitafutana na kuuchukua ulimwengu, na kubadilishwa na kitu cha maajabu zaidi,(mhusika mmoja, Prak, anapendekeza kwamba hili huenda likawa limetokea tayari).<ref name="Adams H2G2 book3">{{cite book|isbn=0-330-26738-8|title=[[Life, the Universe and Everything]]|author=[[Douglas Adams]]|published=1982|year=1982|publisher=Pan|location=London}}</ref> Hatimaye, katika matumaini kwamba fahamu yake ina swali, Arthur Dent anajaribu kuliwaza swali, na anapata "unapata nini ukizidisha sita mara tisa?", Pengine ni dhana isiyosahihi, kwani kuwasili kwa "Golgafrinchans" katika Dunia ya kabla ya historia ingeharibu mchakato wa kuhesabu.<ref name="Adams H2G2 book2">{{cite book|title=[[The Restaurant at the End of the Universe]]|author=[[Douglas Adams]]|date=1 JanuaryJanuari 1980|isbn=0-345-39181-0|publisher=Ballantine Books|location=New York}}</ref> Hata hivyo, Dent, Fenchurch, na Marvin anayekaribia kufa waliona ujumbe wa mwisho wa Mungu kwa uumbaji wake: "Sisi tunaomba msamaha kwa shida tuliyowaletea".<ref name="Adams H2G2 book4">{{cite book|isbn=0-330-28700-1|title=[[So Long, and Thanks for All the Fish]]|author=[[Douglas Adams]]|published=1984|year=1985|publisher=Pan|location=London}}</ref>
 
[[File:HamletSkullHCSealous.jpg|thumb|left|150px|Hamlet na Kifuvu cha Yorick]]