Kolo Toure : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza el:Κόλο Τουρέ
d Minor fix using AWB
Mstari 24:
| nationalcaps1 = 70
| nationalgoals1 = 2
| pcupdate = 09:12, 15 DecemberDesemba 2009 (UTC)
| ntupdate = 15:27, 12 SeptemberSeptemba 2009 (UTC)
}}
 
[[Picha:Toure With a Young Fan.jpg|thumb|Toure na shabiki]]
'''Kolo Habib Toure''' (alizaliwa mnamo Machi 19, Machi 1981) ni mchezaji kandanda ambaye kwa sasa anaichezea, na ni nahodha wa Manchester City,ambayo ni klabu katika ligi kuu ya Uingereza na huichezea timu ya taifa ya Ivory Coast. Touré ni mchezaji wa kati wa safu ya ulinzi, yaani difenda, na anajulikana kwa kasi yake, nguvu yake na uanaspoti wake. Yeye ni kaka mkubwa wa [[Yaya Toure]], mchezaji wa kuingo cha kati katika klabu ya [[Barcelona]] na [[Ibrahim Touré]] wa klabu ya [[Al-Ittihad]].
 
== Wasifu wa Klabu ==
Mstari 61:
=== Manchester City ===
==== Msimu wa 2009/10 ====
Baada ya uvumi mwingi wa uhamisho, ilitangazwa mnamo 28 Julai, 2009 kwamba Manchester City ilikubali kumnunua Kolo Toure kwa ada ya paundi (£) milioni 14. Baada ya kufanikiwa kupita kwa matibabu katika Manchester tarehe 29 Julai 2009, Toure alisaini mkataba wa miaka minne Manchester City ambayo ina chaguo la kuendeleza kwa zaidi ya miaka 5. Manchester City, ambayo ilimaliza katika nafasi ya 9 msimu uliyopita, ilikuwa imewatia saini wachezji wa kiwango cha juu katika maandalizi kwa msimu wa 2009-10, na Touré anatarajia kuisaidia City kuwa katika nafasi moja ya nne za kwanza ya ligi kuu ya Uingereza. Hivi karibuni aliteuliwa kuwa nahodha wa klabu hiyo na meneja wa hapo awali, Mark Hughes. Alifunga bao lake la kwanza la Manchester City katika ushinda wa 2-1 dhidi ya Fulham tarehe 23 Septemba 2009 katika mechi ya Kombe la Carling. Alifunga bao lake la kwanza la ligi la Manchester City dhidi ya Burnley tarehe 7 Novemba 2009.
 
== Wasifu wa Kimataifa ==
Toure ameichezea nchi ya [[Cote d'Ivoire]] tangu mwaka wa 2000. Mechi yake ya kwanza ilikuwa mnamo Aprili 2000 dhidi ya Rwanda. Yeye ni chaguo la kwanza la mchezaji wa kati katika safu ya ulinzi. Alicheza mechi zote tano za Cote d'Ivoire lakini walibanduliwa nje ya Kombe hilo na wenyeji [[Misri]] mnamo Januari 2006.
 
Alitajwa katika kikosi cha watu 23 kilichochukuliwa na kocha Henri Michel kwenda kushiriki katika kombe la dunia la mwaka wa 2006 na alicheza mechi yake ya kwanza katika Kombe la Dunia tarehe 11 Juni 2006, mechi ambayo Cote d'Ivoire ilipoteza 1-2 dhidi ya [[Ajentina]]. Ameifungia Ivory Coast mabao mawili kwa mechi sabini alizozichezea hadi sasa, yote kutumia kichwa dhidi ya [[Gabon]] (Nyumbani) na Tajikistan (Ugenini) mtawalia.
 
=== Mabao ya kimataifa ===
 
{| class="wikitable"
! #
! Tarehe!!
! Ukumbi
! Mpinzani
! Mabao!!
! FT Result
! Mashindano
|-
| 1
| 8 Oktoba 2002
| Abidjan, Ivory Coast
| Gambia
| '''3''' -0
| 5-0 (Win)
| 2008 Afrika ya Kombe la Mataifa ya kufuzu
|-
| 2
| 25 Juni 2003
| Dushanbe, Tajikistan
| Tajikistan
| '''1-2'''
| 1-8 (Win)
| Maonyesho mchezo
|}
Line 100 ⟶ 99:
 
== Takwimu ya Wasifu ==
:''(Correct kama ya Agosti 25, Agosti 2009)''
 
:''(Correct kama ya Agosti 25, 2009)''
{| class="wikitable" style="text-align: center;"
|-
Line 164 ⟶ 162:
 
== Maisha ya Kibinafsi. ==
Kolo Toure ni Mwislamu. Yeye ni kakaze wa Yaya Toure wa FC Barcelona na Ibrahim Touré ambaye ni mshambuliaji wa Al-Ittihad.
 
== Tuzo ==
Line 191 ⟶ 189:
 
== Marejeo ==
{{reflistMarejeo}}
 
== Viungo vya nje ==
Line 205 ⟶ 203:
 
{{Persondata
|NAME name= Touré, Kolo Abib
|ALTERNATIVE NAMESalternative names= Touré, Kolo
| short description=
|SHORT DESCRIPTION=
|DATE OFdate BIRTHof birth= 1981-03-19
|PLACE OFplace BIRTHof birth= [[Sokoura Bouake]], [[Côte d'Ivoire]]
| date of death=
|DATE OF DEATH=
| place of death=
|PLACE OF DEATH=
}}
{{DEFAULTSORT:Toure, Kolo}}