Kizunguzungu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Translated from http://en.wikipedia.org/wiki/Dizziness (revision: 381773796) using http://translate.google.com/toolkit with about 96% human translations. |
d Minor fix using AWB |
||
Mstari 1:
{{Infobox Symptom
| Image =
| Caption =
| DiseasesDB = 17771
| ICD10 = {{ICD10|R|42||r|40}}
| ICD9 = {{ICD9|780.4}}
| ICDO =
| OMIM =
| MedlinePlus =
| eMedicineSubj = neuro
| eMedicineTopic = 693
Mstari 26:
==hali zinazoendana na uuguzi(tibabu)==
Hii ni orodha ndogo kwa sababu kizunguzungu ni dalili ya kawaida kwa dalili za magonjwa mengi Hata hivyo, vipengele vya kawaida vinaweza kuhahinishw kama ifuatavyo: 40% vestiburi ya pembeni inayofanya kazi vibaya, 10%jeraha kwenye mfumo mkuu wa fahamu, 15% ugonjwa wa akili, 25% kuzirai / kukosa msawazo, na 10%kizunguzungu kisicho lasimi. <ref name="chan">{{cite journal |author=Chan Y |title=Differential diagnosis of dizziness |journal=Curr Opin Otolaryngol Head Neck Surg |volume=17 |issue=3 |pages=200–3 |year=2009 |month=
*ujauzito
*shinikizo ya damu kuwa chini (msukumo kuwa chini))
*upungufu wa hewa safi (haipoksemia)
*upungufu wa madini chuma mwilini(safura)
*sukari kushuka(hypoglesia)
*matatizo kwenye homoni (kwa mfano, ugonjwa wa tezi, hedhi, mimba)
*tatizo la kuwa na hofu au wasiwasi
*kupumua kwa kasi
*wasiwasi
*kunyongonyea au kufadhaika
*kupoteza uwezo wa kuona , usawa, na uwezo wa kupokea matambuzi harisi
*kupatwa tatizo la misuli
Mstari 42:
*vestibuli ya mishipa ya fahamu
*uvimbe katika sikio la ndani
*uvimbe katika sikio la
*kupoteza hisia za kusikia
*kuwa na mwendelezo wa magonjwa sugu
*gonjwa linalosababishwa na mdudu anayeitwa Tolosa
*kipanda uso
*kushikwa na misuli
Mstari 52:
hali nyingi husababisha kizunguzungu kwa sababu sehemu mbalimbali za mwili zinahitajika kutunza usawa ikiwa ni pamoja na kudumisha usawa ndani ya sikio, macho, misuli, mifupa, na mfumo wa fahamu. <ref name="merck">[21] ^ [http://www.merck.com/mmpe/sec08/ch084/ch084e.html?qt=dizziness&alt=sh kizunguzungu na Msongo kwenye kazi(mwongozo) wa merk]</ref>
sababu za kawaida zinazoweza kusababisha kizunguzungu ni pamoja na:
*damu kidogo kupelekwa kwenye ubongo kutokana na:
**kuanguka ghafla kwa shinikizo la damu <ref name="merck"></ref>
Mstari 61:
==Ratibu(epidemologia)==
kiasi cha 20-30% ya watu imeripoti kuwa wamepatwa na kizunguzungu mwakka jana <ref name="Epi09">{{cite journal |author=Neuhauser HK, Lempert T |title=Vertigo: epidemiologic aspects |journal=Semin Neurol |volume=29 |issue=5 |pages=473–81 |year=2009 |month=
== Tazama(angalia) Pia ==
Mstari 71:
==Marejeo==
{{
==Viunga vya nje==
|