Kenya People's Union : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Minor fix using AWB |
|||
Mstari 3:
== Historia ==
Mnamo Machi 1966, mzozo ulitokea katika mkutano wa chama tawala KANU uliyofanya mlengo wa kushoto wa chama ukiacha chama hicho na kuanzisha KPU<ref>Bethwell A. Ogot, William Robert Ochieng': [http://books.google.com/books?id=AmFVjigwkxwC&pg=PA98&lpg=PA98&dq=%22Kenya+People%27s+Union%22&source=bl&ots=6RKZc1eFbD&sig=ZJ2D8K_DLQQoGX1YgivmiriRFGM&hl=en&ei=pKriSrfKGIHR-QbogLXeAQ&sa=X&oi=book_result&ct=result&resnum=4&ved=0CBsQ6AEwAw#v=onepage&q=%22Kenya%20People%27s%20Union%22&f=false Decolonization and independence in Kenya]. 1995</ref>. KANU ilibadilisha sheria za uchaguzi kulazimisha wabunge waliyejiunga na KPU kutetea viti vyao katika uchaguzi mdogo. KPU iliweza kushinda hasa kwa [[Waluo]] Mkoani [[Mkoa wa Nyanza|Nyanza]] pekee, huku waliyesimama kwingine wakishindwa na wanasiasa kutoka chama cha KANU ambacho wakati huo kilikuwa kikitawalwa na wanasiasa [[Wakikuyu]] <ref>Abner Cohen: [http://books.google.com/books?id=Mgh7311x8LIC&pg=PA139&dq=kenya+people%27s+union&as_brr=3#v=onepage&q=kenya%20people%27s%20union&f=false Urban Ethnicity]. Routledge, 2004. ISBN 0-415-32982-5</ref>.
Mwisho wa Chama hiki uliwadia wakati wa Ufunguzi wa [[Hospitali ya New Nyanza]] mnamo 25 Oktoba
== Wanasiasa wa KPU ==
Mstari 17:
* [[George Fredrick Oduya]] ([[Jimbo la Uchaguzi la Elgon West|Elgon West]])
* [[Achieng Oneko]] ([[Jimbo la Uchaguzi la Nakuru Town|Nakuru Town]])
* [[Joseph Mwasia Nthula]] ([[Jimbo la Uchaguzi la Iveti South|Iveti South]])
* [[Wasonga Sijeyo]] ([[Jimbo la Uchaguzi la Gem|Gem]])
== Virejeleo ==
{{
[[Jamii:Vyama vya kisiasa Kenya]]
|