Geoffrey William Griffin : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d clean up using AWB |
d Minor fix using AWB |
||
Mstari 1:
'''Dkt Geoffrey William Griffin''' (alizaliwa Eldoret
Starehe hutoa elimu ya hali ya juu bila malipo kwa mayatima na watoto wengi maskini wa Afrika (kwa mfumo unaofanana na [[Christ's Hospital]]). Wanfunzi wengi wa zamani sasa ni watu maarufu nchini Kenya na ulimwenguni. (Waziri mstaafu [[Raphael Tuju]]; [[Paul Ereng]], mshindi wa medali ya dhahabu ya Olimpiki; Dk [[Amrose Misore]], Naibu Mkuu wa Mkurugenzi wa Huduma ya Afya; na [[Prof George Magoha]], Daktari wa upasuaji na Mwanaurolojia ambaye ni Makamu wa Chansela wa sasa wa [[Chuo Kikuu cha Nairobi]] ni wachache tu ya Wanastarehe wa zamani).
Ni vyema kutambua kwamba aliyeingia mahala pa Dkt Griffin kama Mkurugenzi wa Shule ya Upili ya Wavulana ya Starehe ni Prof Jesse Mugambi, muelimishaji aliyeheshimika na kujulikana sana nchini Kenya na awali alikuwa profesa wa falsafa katika [[Chuo Kikuu cha Nairobi]]. Wana watatu wa Profesa Mugambi wamepitia katika Shule ya Starehe kama wanafunzi wakati tofauti wakati Dkt Geoffrey William Griffin bado alikuwa mkurugenzi. Profesa alijiuzulu kutoka wajibu wake kama Mkurugenzi wa Shule ya Starehe mnamo Ijumaa,
Griffin alipata elimu isiyo ya juu sana: baada ya kuacha shule mapema, alijiunga, kwanza, na Usoroveya wa Kenya, na kisha King's African Rifles. Baada ya kutumikia wakati wa [[dharura]], alikuja kushawishika na haki ya vuguvugu la [[Mau Mau]], na kuchoshwa na ukatili wa vita.<ref>[0] ^ Anonymous (
Griffin aliondokea kuwa kiongozi mwanzilishi kielimu na alituzwa PhD ya Heshima katika Elimu na [[Chuo Kikuu cha Kenyatta]] kwa kuifanya Shule ya Starehe kuwa mojawapo wa shule bora zaidi sio tu nchini Kenya bali katika Afrika na ambayo inajulikana ulimwengu mzima kama kituo cha ubora wa elimu.
Alipatiwa cheo cha Moran of the Order of Burning Spear na Rais [[Kenyatta]] mwaka wa 1970, ya Moran of the Order of the Golden Heart na Rais [[Moi]] mwaka wa 1986 na Order of the British Empire na [[Malkia Elizabeth II]] mwaka wa 2002, na tuzo ya Lifetime Achievement na Tume ya Kitaifa ya Kutetea Haki za Binadamu ya Kenya mwaka wa 2005 [http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=23985 ]
==Vidokezo==
{{
==Viungo vya nje==
*Anonymous (
*Kwamchetsi Makokha (
▲*Anonymous ( Agosti 18 2005) [http://www.timesonline.co.uk/article/0,,60-1739371,00.html ''TimesOnline'' obituary,] [[The Times]].
▲*Kwamchetsi Makokha ( Juni 29. 2005) [http://www.eastandard.net/archives/cl/hm_news/news.php?articleid=23985 Starehe founder Griffin dies at 72] ''The East African Standard''
==Makala ya Waandishi==
*Geoffrey Griffin (1994) ''School Mastery: Straight talk about boarding school management in Kenya,'' (Nairobi: Lectern Publications).
*Roger Martin (1978) ''Anthem of bugles: the story of Starehe Boys Centre and School,'' (Nairobi, London: Heinemann Educational).
|