Auguste Beernaert : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza tr:Auguste Marie François Beernaert
d Minor fix using AWB
Mstari 1:
[[Picha:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
[[Picha:Auguste Beernaert(03).jpg|thumb|right|Auguste Beernaert]]
{{commonsCommons|Auguste Beernaert}}
 
'''Auguste Marie Francois Beernaert''' ([[26 Julai]], [[1829]] – [[6 Oktoba]], [[1912]]) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya [[Ubelgiji]]. Kuanzia 1884 hadi 1894 alikuwa [[Waziri Mkuu]] na [[Waziri wa Fedha]]. Baadaye alikuwa mwakilishi wa Ubelgiji kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa [[The Hague]] mwaka wa 1899 na wa 1907. Mwaka wa [[1909]], pamoja na [[Paul d’Estournelles]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel]] kwa Amani'''.
 
== Tazama pia ==
* [[Orodha ya Mawaziri Wakuu wa Ubelgiji]]
 
{{mbeguMbegu-mwanasiasa}}
 
{{DEFAULTSORT:Beernaert, Auguste}}