Abedi Amani Karume : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d The file Image:Abeid_Amani_Karume.jpg has been removed, as it has been deleted by commons:User:INeverCry: ''Per commons:Commons:Deletion requests/File:Abeid Amani Karume.jpg''. ''Translate me!'' |
Minor fix using AWB |
||
Mstari 1:
'''Sheikh Abeid Amani Karume''' alikuwa Rais wa kwanza wa [[Zanzibar]]. Alizaliwa mwaka [[1905]] na kufariki tarehe [[7 Aprili]]
Karume aliongoza mapinduzi yaliyomwangusha [[Sultani]] aliyekuwa akitawala Zanzibar hapo mwaka 1964. Baada ya miezi mitatu Zanzibar iliungana na [[Tanganyika (nchi)|Tanganyika]] iliyokuwa ikiongozwa na [[Mwalimu Nyerere]]. Baada ya muungano wa nchi hizi mbili uliozaa jina la [[Tanzania]], Karume alikuwa makamu wa rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
|