Bernardino wa Siena : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imebadilisha: cs:Bernardin Sienský |
Minor fix using AWB |
||
Mstari 1:
[[Picha:Pintoricchio 019.jpg|right|thumb|250px|[[Pinturicchio]] (1486), ''Utukufu wa Mt. Bernardino da Siena'', [[Roma]], kanisa la [[Santa Maria in Aracoeli]]]]
'''Bernardino wa Siena''' ([[8 Septemba]]
== Maisha ya awali ==
Alizaliwa na kubatizwa [[Massa Marittima]] ([[Siena]]) tarehe 8 Septemba 1380 katika familia [[Albizzeschi]] kutoka Siena, ambako alihamia baada ya kubaki [[yatima]], ili alelewe na ndugu zake na kusomeshwa.
== Wito na utume ==
Akiwa na miaka 22, alijiunga na [[utawa]], katika tawi la [[urekebisho]] wa [[Waobservanti]], ambalo akawa nguzo yake kuu, pamoja na [[Yohane wa Kapestrano]], [[Yakobo wa Marka]] na [[Alberto wa Sarteano]].
Line 14 ⟶ 12:
== Kifo ==
Alifariki huko [[L'Aquila]], tarehe 20 Mei 1444.
== Heshima baada ya kifo ==
Kutokana na sifa yake kubwa, alitangazwa [[mtakatifu]] na [[Papa Nikolasi V]] mwaka [[1450]]. Kumbukumbu yake inaadhimishwa kila tarehe [[20 Mei]].
Line 26 ⟶ 22:
== Viungo vya nje ==
* [http://www.aug.edu/augusta/iconography/bernardino.html St. Bernardino page] at ''Christian Iconography''
{{
[[Jamii:Waliozaliwa 1380]]
|