Bernardino wa Siena : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imebadilisha: cs:Bernardin Sienský
Minor fix using AWB
Mstari 1:
[[Picha:Pintoricchio 019.jpg|right|thumb|250px|[[Pinturicchio]] (1486), ''Utukufu wa Mt. Bernardino da Siena'', [[Roma]], kanisa la [[Santa Maria in Aracoeli]]]]
 
'''Bernardino wa Siena''' ([[8 Septemba]], [[1380]] - [[20 Mei]], [[1444]]) alikuwa [[mtawa]] wa shirika la [[Ndugu Wadogo]] na [[kasisi]] wa [[Kanisa Katoliki]].
 
== Maisha ya awali ==
 
Alizaliwa na kubatizwa [[Massa Marittima]] ([[Siena]]) tarehe 8 Septemba 1380 katika familia [[Albizzeschi]] kutoka Siena, ambako alihamia baada ya kubaki [[yatima]], ili alelewe na ndugu zake na kusomeshwa.
 
== Wito na utume ==
 
Akiwa na miaka 22, alijiunga na [[utawa]], katika tawi la [[urekebisho]] wa [[Waobservanti]], ambalo akawa nguzo yake kuu, pamoja na [[Yohane wa Kapestrano]], [[Yakobo wa Marka]] na [[Alberto wa Sarteano]].
 
Line 14 ⟶ 12:
 
== Kifo ==
 
Alifariki huko [[L'Aquila]], tarehe 20 Mei 1444.
 
== Heshima baada ya kifo ==
 
Kutokana na sifa yake kubwa, alitangazwa [[mtakatifu]] na [[Papa Nikolasi V]] mwaka [[1450]]. Kumbukumbu yake inaadhimishwa kila tarehe [[20 Mei]].
 
Line 26 ⟶ 22:
 
== Viungo vya nje ==
* [http://www.aug.edu/augusta/iconography/bernardino.html St. Bernardino page] at ''Christian Iconography''
 
{{commonsCommons category|Bernardino of Siena}}
 
[[Jamii:Waliozaliwa 1380]]