John Mott : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imebadilisha: ku:John Mott
Minor fix using AWB
Mstari 1:
[[Picha:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
 
'''John Raleigh Mott''' ([[25 Mei]], [[1865]] – [[31 Januari]], [[1955]]) alikuwa kiongozi wa [[YMCA]] na mashirikia mengine ya [[Ukristo|kikristo]] kutoka nchi ya [[Marekani]]. Kuanzia mwaka wa 1895 hadi 1920 alikuwa katibu mkuu wa [[Chama cha Wanafunzi Wakristo Duniani]]. Mwaka wa 1910, aliongoza [[Mkutano wa Misheni Duniani]] mjini [[Edinburgh]]. Mwaka wa [[1946]], pamoja na [[Emily Balch]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Amani]]''' kwa ajili ya kazi yake ya kuanzisha na kuimarisha jumuiya za wanafunzi kwa ajili ya amani duniani.
 
{{DEFAULTSORT:Mott, John}}
{{mbeguMbegu-mwanasayansi}}
 
[[Jamii:Waliozaliwa 1865]]