'''John Raleigh Mott''' ([[25 Mei]], [[1865]] – [[31 Januari]], [[1955]]) alikuwa kiongozi wa [[YMCA]] na mashirikia mengine ya [[Ukristo|kikristo]] kutoka nchi ya [[Marekani]]. Kuanzia mwaka wa 1895 hadi 1920 alikuwa katibu mkuu wa [[Chama cha Wanafunzi Wakristo Duniani]]. Mwaka wa 1910, aliongoza [[Mkutano wa Misheni Duniani]] mjini [[Edinburgh]]. Mwaka wa [[1946]], pamoja na [[Emily Balch]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Amani]]''' kwa ajili ya kazi yake ya kuanzisha na kuimarisha jumuiya za wanafunzi kwa ajili ya amani duniani.