Joseph Pulitzer : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza bn:জোসেফ পুলিৎজার
Minor fix using AWB
Mstari 1:
[[Picha:Pulitzer.jpg|thumb|right|Joseph Pulitzer]]
 
'''Joseph Pulitzer''' ([[10 Aprili]], [[1847]] – [[29 Oktoba]], [[1911]]) alikuwa mhariri wa magazeti kutoka nchi ya [[Marekani]]; lakini alizaliwa nchi ya [[Hungaria]]. Alinunua magazeti mbalimbali na kusimamia uhariri wao. Katika hati ya wasia yake alisaidia kuanzisha Idara ya Uandikaji Habari ndani ya [[Chuo Kikuu cha Columbia]] iliyofunguliwa mwaka wa 1912. Tangu 1917, chuo hicho kimetoa '''[[Tuzo ya Pulitzer]]''' kwa ajili ya maandishi hodari.
 
{{DEFAULTSORT:Pulitzer, Joseph}}
{{mbeguMbegu-mtu}}
 
[[Jamii:Waliozaliwa 1847]]