Pieter Brueghel Mzee : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Robot: Modifying af:Pieter Bruegel die Ouer to af:Pieter Bruegel die Ouere |
Minor fix using AWB |
||
Mstari 2:
[[Picha:Pieter Bruegel the Elder - The Tower of Babel (Vienna) - Google Art Project - edited.jpg|thumb|300px|Mnara wa Babeli]]
[[Picha:BruegelPortrait.jpg|thumb|Pieter Breughel alivyojichora mwenyewe]]
'''Pieter Brueghel''' (* kati ya [[1525]] na [[1530]] mjini [[Breda]]; † [[5 Septemba]]
Brueghel alijifunza sanaa ya uchoraji mjini [[Antwerpen]] hadi kufikia kiwango cha fundi mwalimu. Mnamo 1552-1555 alisafiri [[Italia]] alikoangalia sanaa ya karne nyingi.
Mstari 8:
Picha za Brueghel zinaonyesha vinaganaga vingi, alipenda kuficha ujumbe wake katika vipengele vidogo. Alipenda kuonyesha maisha ya wakulima vijijini kwa umakini kabisa. Picha zake zote zinasimulia hadithi katika mazingira ya mandhari ya kiholanzi. Alichora pia habari za [[Biblia]] na ndoto akifanana na [[Hieronymus Bosch]].
Kati ya picha zake mashuhuri sana ni "Misemo na nahau za lugha ya Kiholanzi" alimoonyesha misemo zaidi ya 100, halafu pia "Mnara wa Babeli".
== Viungo vya Nje ==
▲{{commonscat|Pieter Bruegel (I)}}
* [http://www.wga.hu/bio/b/bruegel/pieter_e/biograph.html Biography at the Web Gallery of Art]
* [http://www.wga.hu/html/b/bruegel/pieter_e/painting/index.html Web Gallery of Art: Paintings by Pieter Bruegel the Elder]
|